Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Jumuia ya wazazi CCM mkoa wa Kilimanjaro sasa wanapita shule hadi shule wakihamasisha maadili kwa wanafunzi.
Walijaribu kutolea mifano ya vurugu za Tegeta na ishu ya wanachuo wa UDOM kutaka kuingia ukumbini kujadili muswada, Walidai maadili yangekuwepo yasingetoke mambo yale.
Walisisitiza kuwa hawakuja kwa ajili maswala ya kichama japo wao ni wana CCM. Hayo yalitoke shule ya sekondari Mawenzi- Moshi. ilikuwa ijumaa tar 8 april 2011.
Wiki hiyo hiyo Mwenyeketi wa wazazi CCM Ngawaiya alitembelea Kawe Sekondari, ambako aliituhumu CDM kuwa inapokea fedha toka U.S.A ili kuleta vurugu.
Siujui ni kurejesha imani kwa wananchi hasa vijana ili zomeazomea isiwakumbe watakapoanzisha maandamano ya kumpongeza JK kwa kilichoendelea Dodoma.
Walijaribu kutolea mifano ya vurugu za Tegeta na ishu ya wanachuo wa UDOM kutaka kuingia ukumbini kujadili muswada, Walidai maadili yangekuwepo yasingetoke mambo yale.
Walisisitiza kuwa hawakuja kwa ajili maswala ya kichama japo wao ni wana CCM. Hayo yalitoke shule ya sekondari Mawenzi- Moshi. ilikuwa ijumaa tar 8 april 2011.
Wiki hiyo hiyo Mwenyeketi wa wazazi CCM Ngawaiya alitembelea Kawe Sekondari, ambako aliituhumu CDM kuwa inapokea fedha toka U.S.A ili kuleta vurugu.
Siujui ni kurejesha imani kwa wananchi hasa vijana ili zomeazomea isiwakumbe watakapoanzisha maandamano ya kumpongeza JK kwa kilichoendelea Dodoma.