yutong
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 1,601
- 338
Jamani wanaJF kwa kweli CDM inawafanya CCM hawalali siku hizi. Mi nawalinganisha CDM kama mtu aliyeshika remort ya TV ambayo ukiiambia zima unaissue comand na inazima. TV hapa ni CCM maana wao sasa wanaonekana they cannot control themselves.
Mbaya zaidi ni kwamba sasa CCM inaonekana kama dereva wa basi la abiria ambaye ameacha usukani wake na kuangalia barabara sasa amewageukia abiria na kuanza kubishana nao. Kinachofuatia hapa ni ajaali mbaya kabisa. Hivyo CCM wameacha wajibu wao wa kuongoza nchi na kuwaletea watz maendeleo sasa juhudi zao ni kwuimaliza CDM, kinachofuata hapo ni kuanguka kabisa kwa CCM. Hususani tunaona kuna kero nyingi sana sasahivi kama ya umeme, maji nk. Mi ningewashauri CCM kuwa kujisafisha kwao kusiwe kutaka kuiangamiza CDM bali wapambane na kero za wananchi (recovery process) na ndipo hapo watakuwa wamejisafisha. Kinyume na hapo wasitegemee mabadiliko zaidi. Tunategemea 2015 watuambie hakuna tatizo la maji kadhalika umeme. Nyie vibaraka mliotumwa na wanamagamba wa CCM muende mkawaambie waje wajibu hoja wao wenyewe na si vinginevyo.
Mbaya zaidi ni kwamba sasa CCM inaonekana kama dereva wa basi la abiria ambaye ameacha usukani wake na kuangalia barabara sasa amewageukia abiria na kuanza kubishana nao. Kinachofuatia hapa ni ajaali mbaya kabisa. Hivyo CCM wameacha wajibu wao wa kuongoza nchi na kuwaletea watz maendeleo sasa juhudi zao ni kwuimaliza CDM, kinachofuata hapo ni kuanguka kabisa kwa CCM. Hususani tunaona kuna kero nyingi sana sasahivi kama ya umeme, maji nk. Mi ningewashauri CCM kuwa kujisafisha kwao kusiwe kutaka kuiangamiza CDM bali wapambane na kero za wananchi (recovery process) na ndipo hapo watakuwa wamejisafisha. Kinyume na hapo wasitegemee mabadiliko zaidi. Tunategemea 2015 watuambie hakuna tatizo la maji kadhalika umeme. Nyie vibaraka mliotumwa na wanamagamba wa CCM muende mkawaambie waje wajibu hoja wao wenyewe na si vinginevyo.