Tshala
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 281
- 110
Hivi ndugu yangu kilewo... ndio taratibu za chama chenu kutoa kila siri za kikao? au ni vipi? naona kila wakibana nyeti zinatoka nje
next time ntawashauri wakafanyie kikao mikese huko
Haitasaidia hata wangefanyia chini ya ardhi tutajua tu....