Mi nashangaa sana,viongozi wa juu wanasema mafisadi wajiondoe wenyewe.Nape,Mkama,CC wamesikika mara kadhaa wakiwataka mafisadi wajiondoe.Tunaomba wawataje kabisa kama walivyofanya Chadema.Tumechoka na siasa.Watupe list kabisa,la sivyo wao wenyewe wajiondoe kwanza kwa sababu wanatudanganya,sisi sio watoto wadogo.Tutawatosa 2015.CCM tajeni kabisa tuwajue.Mi naipenda sana chadema sio wanafiki wanataja kabisa