Naona chama kinamfia JK maana mgogoro Chadema na serikali haieleweki kabisa nini msimamo wa Chama(serikali)au tuseme mkwere kajichokea kaamua kila mtu ruksa
1.Shamsi Vuai- "huu ni mgogoro wa kisiasa wa pande mbili inabidi ushughulikiwe kisiasa kwa pande 2 kukutana
2. Makamba-"hakuna meza ya mazungumzo na chadema na kila mtu aheshimu matokeo yakiwemo ya umeya
3.Kamati kuu itakaa na kukubaliana jinsi ya kushughulikia mgogoro na itatoa tamko
1.Shamsi Vuai- "huu ni mgogoro wa kisiasa wa pande mbili inabidi ushughulikiwe kisiasa kwa pande 2 kukutana
2. Makamba-"hakuna meza ya mazungumzo na chadema na kila mtu aheshimu matokeo yakiwemo ya umeya
3.Kamati kuu itakaa na kukubaliana jinsi ya kushughulikia mgogoro na itatoa tamko