CCM ni Adui wa Maendeleo ya Tanzania na Watanzania

Hujajibu chochote zaidi Sana ulijitahidi uonekane mjuvi kumbe zoba

Sina mda nawe tena nyie type ya kina kisangi na Lusinde huwa naona najisi kubishana nanyi....

Mjadala unaendelea bado Una nafasi ya kujifunza mengi ila Nina rekebisho moja tu

Jina la jaji ni Utamwa sio Utumwa.
Ndio maana nikataka ufafanuzi na facts zako labda tunasoma vitu tofauti na wewe unajua zaidi, mbona vitu basics sana na avina ujuvi hivyo.

Aim sio kujibu hapo aim ni kupata facts zako au comprehension hukupitia?
 
Kuna watu hapa wana hoja ya udini na uCCM, Kwa mtu anayeelewa maana ya Stockholm sydrome ataelewa nini maana yangu.

wa mtu mwenye macho, mwenye akili timamu hata siku moja hawezi kukaa kimya kutokana na kilichotokea.

Kumbuka EPA....rais alitangaza mwenyewe kuwa wezi waliiba hela

Drug barons ku-bank roll baadhi ya wanasiasa, kama mtakunmbuka kulikuwa na bendi inaitwa TOT ilikuwa inafadhiliwa na hela za drugs

Richmond,

Escrow

haya yote kwa mtu mwenye akili timamu anatakiwa kujiuliza ni bahati mbaya au ni mpango mzima?
OK pengine kweli hela imeibiwa kwanini sasa inakuwa matatizo watu wanapo omba facts au ushahidi wa wizi ulipo inakuwa matatizo. Pengine wewe unafahamu zaidi wizi huko wapi?
 
Mtahaha sana na CCM.

Mmebwagwa hoja zenu zote, iliyobaki mnatapatapa.

Nimegundua wewe pamoja na wapiga porojo wenzio mnasaidia kuiweka uchi CCM kwa kuitetea kwa vioja dhaifu bila nyinyi wenyewe kujua.Kwasababu watanzania ivi sasa tunajua mengi mabaya ya serikali hii kongwe kwa sababu ya vyama imara vya upinzani.Kwa maana iyo nafurahi mnavyojitahidi kujifanya mnatetea Chama lakini mjue hoja zenu nyingi tunazipima na kuzichambua na tukizilinganisha na zinazotolewa na wapinzani wa kweli na wanaharakati,tunaona jinsi mlivyoharibu mpaka hamna cha kujitetea nakuombea uendelee kuwa ivyoivyo ili watanzania tuendelee kujua ukweli kwamba katika chama chenu wengi mmebaki masilahi na wale wachache wanaosema ukweli ktk chama chenu nao pia wamegeuka maadui.
 
Hii ni kweli kabisa. With CCM Tanzania haitaendelea kamwe kwani kila kiongozi anayekuja kichwa chake ni kile kile yaani kwamba hana mawazo ya maendeleo bali kuikandamiza nchi kwa kufanya ujambazi wa waziwazi.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom