Propaganda za CCM hazina msemaji kila mtu anakurukupa nakusema yake nape zile siku 90 ziko wapi na mbunge aliyekamatwa 1milion cash yameishia wapi?acheni unafiki siasa za kizamani hizo kumbukeni mnaongea na wasomi na watu waliotembe sana upuuzi huo muongee na wanaccm wenzenu poleni sana.