Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
Hakika mtafanya wake za wabunge wasikanyage kabisa dodoma kama mmeanza kuchukuana kwa nguvu hivi
nahisi mmemdhtus sana sana mama a lyatonga maana kila wakati yuko na mkewe
kwa style hii amwoni jamani mtawafanya wale machangu kuanza kujazana na kurandana na wabunge wetu
huku tukiendelea kuzika kwa shinikizo za damu na pressure..sipendi sipensi kabisa kurudiwa uchaguzi maana
wizi mtupu hela yangu yakodi inatumika nauliza nani kawachukua wapendwa hawa jamani ccm ??
nahisi mmemdhtus sana sana mama a lyatonga maana kila wakati yuko na mkewe
kwa style hii amwoni jamani mtawafanya wale machangu kuanza kujazana na kurandana na wabunge wetu
huku tukiendelea kuzika kwa shinikizo za damu na pressure..sipendi sipensi kabisa kurudiwa uchaguzi maana
wizi mtupu hela yangu yakodi inatumika nauliza nani kawachukua wapendwa hawa jamani ccm ??