Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,200
- 3,761
fara wewe
Umeingia javini vibaya, tumia zaidi hekima yako katika kumwelimisha mtu si matusi. Jamvi hili ni la wastaarabu:nono:
fara wewe
Jamani Kazi Bado sana, CHADEMA isibweteke kwa ushindi huu iliopata mpaka sasa ikajisahau na kuacha kura za uraisi kuchakachuliwa. Tuendelee kukaza Buti mpaka Kieleweke katika majimbo yaliyobakia na katika Uraisi. Kwa jinsi hali ilivyo Itakua miujiza maajabu na mazingaombwe kwa JK Kushinda.
Tatizo CCM walishindwa kusoma alama za nyakati. Watavuna walichopanda. Kama walipanda Ufisadi wacha wavune wanachostahili....Tehe Tehe tehe...
VIVA CHADEMA