Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Najiuliza maswali mengi, imekuwaje CCM ipite bila kupingwa sehemu nyingi za TZ kwenye uchaguzi wa mitaa na vijiji?
malalamiko yalikuwa kwa tume ya uchaguzi, sasa yenyewe imesema haitasimamia,
Ina maana hiki chama bado kinakubalika kiasi hiki? au ni kiini macho,
kama ni hivyo basi sisi waTz sio wakweli, tunapiga kelele sana kuwa hatukitaki hiki chama, kumbe tunakipitisha bila kuweka wagombea INAKUWAJE?????!!!!
malalamiko yalikuwa kwa tume ya uchaguzi, sasa yenyewe imesema haitasimamia,
Ina maana hiki chama bado kinakubalika kiasi hiki? au ni kiini macho,
kama ni hivyo basi sisi waTz sio wakweli, tunapiga kelele sana kuwa hatukitaki hiki chama, kumbe tunakipitisha bila kuweka wagombea INAKUWAJE?????!!!!