Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Hivi hii vita ya ufisadi ni kiini macho au?
Kwa chama kupokea mchango kutoka kwa mtuhumiwa maana yake ni kuwa yeye ni untouchable na ni matusi kwa watanganyika wenye kuipenda nchi yao.