Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
kwenye taarifa ya habari TBC1 leo nimemuona mzee Makamba anaropoka kama kawaida yake alisema: wanataka mdaharo ila lazima wajue niwatugani wanaenda kukutanao yaani siku ya mdaharo, maswali yapi yataulizwa siku hiyo akaendelea kusema siyo unawakusawa watukutoka kariako harafu unataka wawaulize maswali si watawaambia jana hawajala na ccm ndiyo imesababisha...na mwisho kasema maswali yawe ndani ya ilani zao....wewe mzee wewe mnataka kuchakachua mpaka maswali