Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ndugu zanguni habari nzito na ushahidi zinaonyesha jinsi gani CCM na Seeikali za Mitaa yaani Tamisemi wanavyo weka mbinu za wizi wa kura katika uchaguzi mkuu .Madiwani wote na watumishi wa Halmashauri za Watumishi wa Halmashauri kwa muda sasa wamekuwa wakihaha kila kona kutafuta mbinu za kura .Kuhakikisha CCM inashinda na si Upinzani kwa kuwa wengi wana ogopa upinzani kuingia katika Halamshauri unazuia kula yao na kuleta hoja nzito kweney vukao . Maneno haya nina uhakika nayo na kama huamini kuanzia sasa fuatiliani vikao vya siri kweney Halmashauri hizo na viongozi wa CCM.
Ushahidi kamili ni ule wa uchaguzi wa Oct ambapo Serikali za mitaa waliamua kufanya uhuni wa kuchapisha karatasi za kura ki ajabu na bado watgu wakaingia nazo kwenye uchaguzi .Baada ya kufanikiwa lile la karatasi za kura na watanzania kama kawaida hakuna aliye hoji ndipo Tume ya Taifa NEC imeamua kufanya maajabu yale yale na kwa uhakika nia yao ni kuguat wapinzani Bungeni mwaka 2010.
Do something now vinginevyo mwaka 2010 Bunge zima ni la CCM na wataendelea kupeta .
Ushahidi kamili ni ule wa uchaguzi wa Oct ambapo Serikali za mitaa waliamua kufanya uhuni wa kuchapisha karatasi za kura ki ajabu na bado watgu wakaingia nazo kwenye uchaguzi .Baada ya kufanikiwa lile la karatasi za kura na watanzania kama kawaida hakuna aliye hoji ndipo Tume ya Taifa NEC imeamua kufanya maajabu yale yale na kwa uhakika nia yao ni kuguat wapinzani Bungeni mwaka 2010.
Do something now vinginevyo mwaka 2010 Bunge zima ni la CCM na wataendelea kupeta .