Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Kwa hali ilivyo sasa, nina uhakika mkubwa kabisa kwamba CCM haiwezi kufanya upuuzi huo... ila tusubiri tuone
Waliweza kufanya upuuzi wa Meremeta, kagoda, EPA, utakuwa huu? Kuna jambo la kipuuzi ambalo CCM hawajafanya? Wameweza kuitana vichaa na bado wanaendelea kuwa mawaziri na ukichaa wao, itakuwa hili? Wenzako wala hawaoni kama ni tatizo, watakujibu kirahihi kabisa kuwa ni wivu au chuki? I mean this party can't do anything sensible hapo ilipofikia!