Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Chama cha Mapinduzi (CCM) haileweki kuwa ni kuweweseka au vipi, maana habari za chini ya kapeti lakini zilizothibitishwa zinasema kumeanza shutuma mpya dhidi ya kamanda mkuu wa Arumeru kuwa ni CDM na hakisaidii chama kikamilifu.
Nilipokihoji chanzo hicho ni msaada gani hasa wanaotaka CCM zaidi ya ulinzi na usalama katika mikutano yao? Chanzo hicho kilisema kuwa OCD Arumeru ni kama ana mapenzi na CDM pamoja na askari wake hivyo hawatoi msaada unaotakiwa na wanamashaka siku ya tarehe moja wanaweza kushindwa kuthibiti vurugu ambazo zinaweza kujitokeza eti kutokana na kuonekana kuwa na mapenzi na CDM!!!!!
Baada ya kupata taarifa niliingia porini kuthibitisha madai ya chanzo hicho na kubaini yafutayo;
1.0 Ongezeko la askari wengi wageni toka mikoa ya karibu na Arusha, lengo likiwa ni kuongeza nguvu. Askari hao ni mashushushu (UWT) na polisi wenyewe kwa lengo la kushauriana jinsi ya kuweza kuona jindi ya kuokoa jahazi lisizame.
2.0 OCD wa Arumeru siyo kweli ni mtu wa CDM bali ni jinsi anavyotenda kazi kwa kufuata maadili ya kutoegemea upande wowote imepelekea kutiliwa mashaka eti ni CDM. Hali kadhalika askari wengi wameonekana kukubwa na kiroho cha kuhamishwa endapo CCM itashindwa!!!! Ikumbukwe vyombo vyote vya ulinzi na usalama havipaswi kushabikia chama chochote kile.
3.0 Ni kama CCM imeshagundua itashindwa Arumeru kwenye kura la box na kilichobaki ni kutoka kupitia mlango wa nyuma ambao ni fitna nje ya uwanja wa kura. Hii kwa wao wanaamini inawezekana kwa sababu wanajeshi linalowasupport.
Angalizo;
Madai kama haya hayana msingi kwa chama kama CCM, ni bora muda ulibaki ikajitahidi kushawishi wapiga kura ili wakipigie chama chao siku ya uchaguzi kuliko kujikita zaidi na hisia ambazo zinaweza kuwahukumu watu kinyume na makosa yao.
Nawasilisha kwa majadiliano.
Nilipokihoji chanzo hicho ni msaada gani hasa wanaotaka CCM zaidi ya ulinzi na usalama katika mikutano yao? Chanzo hicho kilisema kuwa OCD Arumeru ni kama ana mapenzi na CDM pamoja na askari wake hivyo hawatoi msaada unaotakiwa na wanamashaka siku ya tarehe moja wanaweza kushindwa kuthibiti vurugu ambazo zinaweza kujitokeza eti kutokana na kuonekana kuwa na mapenzi na CDM!!!!!
Baada ya kupata taarifa niliingia porini kuthibitisha madai ya chanzo hicho na kubaini yafutayo;
1.0 Ongezeko la askari wengi wageni toka mikoa ya karibu na Arusha, lengo likiwa ni kuongeza nguvu. Askari hao ni mashushushu (UWT) na polisi wenyewe kwa lengo la kushauriana jinsi ya kuweza kuona jindi ya kuokoa jahazi lisizame.
2.0 OCD wa Arumeru siyo kweli ni mtu wa CDM bali ni jinsi anavyotenda kazi kwa kufuata maadili ya kutoegemea upande wowote imepelekea kutiliwa mashaka eti ni CDM. Hali kadhalika askari wengi wameonekana kukubwa na kiroho cha kuhamishwa endapo CCM itashindwa!!!! Ikumbukwe vyombo vyote vya ulinzi na usalama havipaswi kushabikia chama chochote kile.
3.0 Ni kama CCM imeshagundua itashindwa Arumeru kwenye kura la box na kilichobaki ni kutoka kupitia mlango wa nyuma ambao ni fitna nje ya uwanja wa kura. Hii kwa wao wanaamini inawezekana kwa sababu wanajeshi linalowasupport.
Angalizo;
Madai kama haya hayana msingi kwa chama kama CCM, ni bora muda ulibaki ikajitahidi kushawishi wapiga kura ili wakipigie chama chao siku ya uchaguzi kuliko kujikita zaidi na hisia ambazo zinaweza kuwahukumu watu kinyume na makosa yao.
Nawasilisha kwa majadiliano.