Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Chama cha CCM kiliwataka wanachama wake wanaotuhumiwa kwa kasha Mbali Mbali za Kifisadi wajichunguze halafu wapime na Wachukue Maamuzi ya Kujivua Gamba.
Msingi wa Tamko la Kujivua gamba la CCM ni tuhuma ambazo zilianzia katika Viwanja vya Mwembe Yanga tarehe 15 September 2008 Pale Katibu mkuu wa CHADEMA alipotoa orodha Maarufu kabisa iliyobadilisha hali ya Kisiasa katika Nchi ya Tanzania, orodha aliyoiita List of Shame . Katika Orodha hiyo Dr. Slaa aliorodhesha Majina ya Makada 11 ambao aliwaita kwamba waemlisababishia taifa hili hasara kubwa sana. Hebu tujikumbushe Orodha hiyo
1. Dr. Daudi Balali
2. Andrew J Chenge
3. Basil P Mramba
4. Grey S Mgonja
5. Patrick Rutabanzibwa
6. Nimrod Mkono
7. Nazir Karamagi
8. Rostam Aziz
9. Edward Lowasa
10. Benjamin Mkapa
11. Jakaya Kikwete
Tokea Tamko hilo litolewe ni watu watatu tu kati ya Kumi na moja wanaotakiwa Kijivua Gamba ( Kwa Maslahi ya Chama) na ni Edward, Rostam na Andrew.
Tangia watu hao waombwe kuachia ngazi zao vimeripotiwa vikao mbalimbli kati ya hao watatu na viongozi wa CCM wakiwaomba wajiuzulu kwa Maslahi ya Chama. Ikumbukwe kwamba Niliandika huko Nyuma kwamba CCM haina uwezo wa kuwafukuza hao isipokuwa wataondoka wakitaka na nikasema kwamba Kujivua Gamba kwa hao itategemea zaidi huruma yao na si nguvu za CCM ( Rostam ameamua kujitoa mwenyewe baada ya kusengenywa sana, sasa amejiuzulu CC inampongeza Gademu unampongeza Mwizi?)
Sio lengo langu kuzungumzia mambo ya Kujua Gamba lakini nataka nieleze Mtazamo wangu juu ya Kujuvua gamba
1. Why Lowasa, Chenge and Rostam?
Lowasa ni kikwazo kikubwa sana kwa Kundi la akina Sitta ambalo lina hasira ya kuukosa Uwaziri Mkuu na wanatambua kwamba Wasipopambana na Lowasa sasa Safari ya Sitta ya kuingia Ikulu 2015 itakuwa Ngumu sana.
2. Why Richmond alono and not other like Kagoda, Epa and IPTL?
Waanajua wakigusa IPTL wanagusa maslahi ya mkuu wao na Kagoda EPA iliwaingiza CCM madarakani 2005
Kwa hiyo kinachoendelea sasa hivi ni Sarakasi za makundi ya Uraisi kuelekea 2015 ila wakiendelea hivi hakika CCM itafika 2015 vipande vipande
Msingi wa Tamko la Kujivua gamba la CCM ni tuhuma ambazo zilianzia katika Viwanja vya Mwembe Yanga tarehe 15 September 2008 Pale Katibu mkuu wa CHADEMA alipotoa orodha Maarufu kabisa iliyobadilisha hali ya Kisiasa katika Nchi ya Tanzania, orodha aliyoiita List of Shame . Katika Orodha hiyo Dr. Slaa aliorodhesha Majina ya Makada 11 ambao aliwaita kwamba waemlisababishia taifa hili hasara kubwa sana. Hebu tujikumbushe Orodha hiyo
1. Dr. Daudi Balali
2. Andrew J Chenge
3. Basil P Mramba
4. Grey S Mgonja
5. Patrick Rutabanzibwa
6. Nimrod Mkono
7. Nazir Karamagi
8. Rostam Aziz
9. Edward Lowasa
10. Benjamin Mkapa
11. Jakaya Kikwete
Tokea Tamko hilo litolewe ni watu watatu tu kati ya Kumi na moja wanaotakiwa Kijivua Gamba ( Kwa Maslahi ya Chama) na ni Edward, Rostam na Andrew.
Tangia watu hao waombwe kuachia ngazi zao vimeripotiwa vikao mbalimbli kati ya hao watatu na viongozi wa CCM wakiwaomba wajiuzulu kwa Maslahi ya Chama. Ikumbukwe kwamba Niliandika huko Nyuma kwamba CCM haina uwezo wa kuwafukuza hao isipokuwa wataondoka wakitaka na nikasema kwamba Kujivua Gamba kwa hao itategemea zaidi huruma yao na si nguvu za CCM ( Rostam ameamua kujitoa mwenyewe baada ya kusengenywa sana, sasa amejiuzulu CC inampongeza Gademu unampongeza Mwizi?)
Sio lengo langu kuzungumzia mambo ya Kujua Gamba lakini nataka nieleze Mtazamo wangu juu ya Kujuvua gamba
1. Why Lowasa, Chenge and Rostam?
Lowasa ni kikwazo kikubwa sana kwa Kundi la akina Sitta ambalo lina hasira ya kuukosa Uwaziri Mkuu na wanatambua kwamba Wasipopambana na Lowasa sasa Safari ya Sitta ya kuingia Ikulu 2015 itakuwa Ngumu sana.
2. Why Richmond alono and not other like Kagoda, Epa and IPTL?
Waanajua wakigusa IPTL wanagusa maslahi ya mkuu wao na Kagoda EPA iliwaingiza CCM madarakani 2005
Kwa hiyo kinachoendelea sasa hivi ni Sarakasi za makundi ya Uraisi kuelekea 2015 ila wakiendelea hivi hakika CCM itafika 2015 vipande vipande