[CCM na kurithishana] Tabora: Mrs Kigwangalla apeta!

Pasco_jr_ngumi

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
1,802
282
Maneno ya Dr. Kigwangala

Shukrani ziwaendee wapiga kura wote wa Mkutano Mkuu wa UWT Mkoa kwa kumchagua mke wangu kipenzi cha roho yangu DR. BAYOUM A. KiGWANGALLA kuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la UWT Taifa kutokea Mkoa wa Tabora. Pia nampongeza Mama Mwanne Mchemba kwa kushinda nafasi ya Kiti Mkoa! ahsanteni na hongereni sana kwa kazi znuu
 
.....................eti wakuu wa wilaya wanapewa nafasi za chama!!11 looooh, mara mjumbe wa NEC..
 
Mwaine nchemba ni viumbe wawili tofauti kabisa, hakuna uhusiano wwte na mwigulu nchemba madelu.acha kupotosha
 
leo walijaa na nguo za kijani,wale wa mbali na mabegi mikononi,kosta kama mbili na bendera za kijani,niliona na ffu kama wanne wamekaa kwenye vibaraza vya kusomea wanafunzi wa tpsc,baadhi walionekana kuwa na aibu kutembea njiani may be they are shame with their part,
comments
"wengi walovaa nguo za kijani walionekana kutokuwa na furaha,nafikiri may be wapo kwa kuwa wanataka kula,wamelazimishwa au hawana la kufanya"
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom