Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Maneno ya Dr. Kigwangala
Shukrani ziwaendee wapiga kura wote wa Mkutano Mkuu wa UWT Mkoa kwa kumchagua mke wangu kipenzi cha roho yangu DR. BAYOUM A. KiGWANGALLA kuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la UWT Taifa kutokea Mkoa wa Tabora. Pia nampongeza Mama Mwanne Mchemba kwa kushinda nafasi ya Kiti Mkoa! ahsanteni na hongereni sana kwa kazi znuu
Shukrani ziwaendee wapiga kura wote wa Mkutano Mkuu wa UWT Mkoa kwa kumchagua mke wangu kipenzi cha roho yangu DR. BAYOUM A. KiGWANGALLA kuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la UWT Taifa kutokea Mkoa wa Tabora. Pia nampongeza Mama Mwanne Mchemba kwa kushinda nafasi ya Kiti Mkoa! ahsanteni na hongereni sana kwa kazi znuu