nitasemaukweli
Member
- May 27, 2011
- 86
- 19
Tumegundua uongo, rushwa, kujikweza, ulevi, ubaguzi wa udini na sasa tunauona ubaguzi wenu wa ukabila. Credibility hamna hata mkitumia vyombo na fedha kiasi gani za wananchi, Taifa limeshawageuka. Kwa taarifa yenu Tanzania itabaki mali ya watanzania na mikononi mwa Watanzania.
Mapinduzi mliotuletea ni sawa na kuwa chini ya mkoloni na utumwani. Njama za kuingiza "Martial law na kui-ignore justice and security ya wananchi hatutawaachia kwamwe na hatutanyanyua mikono juu, tutawaona jela tu.
Wabunge wawatimua mawaziri wa Kikwete
FFU, wanafunzi wapambana
Kiapo cha Mkapa chazua mjadala
Mapinduzi mliotuletea ni sawa na kuwa chini ya mkoloni na utumwani. Njama za kuingiza "Martial law na kui-ignore justice and security ya wananchi hatutawaachia kwamwe na hatutanyanyua mikono juu, tutawaona jela tu.
Wabunge wawatimua mawaziri wa Kikwete
FFU, wanafunzi wapambana
Kiapo cha Mkapa chazua mjadala