Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
nothing like that
hata kudanganya hujui ungesema wamehamia NCCR labda wasio wasiodadisi wangekuamini
hata kudanganya hujui ungesema wamehamia NCCR labda wasio wasiodadisi wangekuamini
mkigoma,
..muungano unakufa na CUF nao watarudi kuwa Hizbu kule Zanzibar.
..CUF wanajulikana kabisa kwamba wako huku Tanganyika kutimiza masharti ya usajili wa vyama vya siasa.
Mwaka mzima post hizo tu, tangu wakati huo hakuna mtu aliyekupa Like hata moja! Ni dhahili huwa una post pumba!
ni muda tu mkutano umemalizika hapa katika viwanja vya katubuka shuleni, na wanachama karibu 64 wa CCM na Chadema 216 wameamua kuachana na vyama hivyo, na kujiunga na chama cha wanainchi CUF, mkutano huo ambao uliambatana na ufunguzi wa matawi 11. HAKI SAWA KWA WOTE.
nami nipo hapa uwanja wa Tip kweli watu ni wachache mno labda tusubiri mpaka saa 11.
Huijui historia ya CUF wewe! Kama hujafanya utafiti basi huna haki ya kuongea! You do not deserve to be a great thinker! Unataka kusema CUF ilianzia Znz??