BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
nduzu zanguni kwani watanzania wote ni ccm?ukipitita barabara ya sam nujoma utakuta watu wanaweka bango katikati ya barabara,mi nauliza hizo sehemu kweli ni kwaajili ya mabango au ndio ccm mabavo, na je nani amewapa kibali....aaaah kumbe ccm ni chama tawala inajiamulia mambo tu....nqa isitoshe wanatumia pesa haswa... Hata chadema wakiambiwa waweke hizo pesa waqtakuwanazo kweli...mimi sioni sababu ya kuweka bango katikati ya barabara ...hii inaonyesha maamuzi ya viongozi wengi wa ccm hawana busara......tuliangalie hili kwa kina.