Dalili zote zinaonekana ule mwisho wa CCM hatimaye umekaribia. Watanzania wengi wameamka, wanajua haki zao kuliko kipindi kingine chochote sasa. Wakati wa watu kuwasikiliza watu kama wakina Makamba na Kinana unaelekea ukingoni, wakati wa kupata kura kwa kuongea upupu na kutoa ahadi zisizotimizika umekwisha. Ati mgombea anasema sijui Kigoma itageuzwa kuwa Dubai, jamani vioja vingi mwaka huu. Watu hawana hata barabara unawaambia habari za uwanja wa ndege?vituko.
Wanamageuzi nchini pote msikate tamaa, jamii ya wapenda haki ipo nyuma yenu. Watu wamefikia mahali wanarithisha wajukuu zao uongozi ka vile watu wengine hawapo. Tumenyanyasika, tumeibiwa, tumepigwa kiasi cha kutosha. Hatuwaachii sasa hivi, mwisho wenu umekariabia, tunakaba mpk mkose hewa, mkose pa kukimbilia.Tukikamata nchi tunawaondolea kinga ya kushtakiwa, kizimbani mtapanda mkikutwa na hatia, ole wenu kama mmewaibia maskini hawa wa Tanzania.
Tunasema ole wenu, maana ule mwisho umekaribia, ole wenu.
Wanamageuzi nchini pote msikate tamaa, jamii ya wapenda haki ipo nyuma yenu. Watu wamefikia mahali wanarithisha wajukuu zao uongozi ka vile watu wengine hawapo. Tumenyanyasika, tumeibiwa, tumepigwa kiasi cha kutosha. Hatuwaachii sasa hivi, mwisho wenu umekariabia, tunakaba mpk mkose hewa, mkose pa kukimbilia.Tukikamata nchi tunawaondolea kinga ya kushtakiwa, kizimbani mtapanda mkikutwa na hatia, ole wenu kama mmewaibia maskini hawa wa Tanzania.
Tunasema ole wenu, maana ule mwisho umekaribia, ole wenu.