John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
Lowasa anaonekana wazi kabisa kuwa na nguvu ndani ya ccm. Na ccm lazima watamuweka kama mgombea urais hapo 2015, Chadema nchi ni yenu tayari na njia ipo wazi barabara ni nyeupe pee. Mlichomfanya Lowasa kule Arumeru ndicho mnachotakiwa kumfanya hapo 2015. Mnachotakiwa kufanya sasa hivi ni kukijenga chama na kuondoa mfarakano na kuboresha demokrasia ndani ya chama bila kuangalia ukanda, dini wala majina. Kila mtu ana haki ya kugombea cheo chochote ndani ya chadema, so kinachotakiwa ni nyie kushikamana na atakayeshindwa asiwe na kinyongo asimame na kuwapa support wenzake na kukiboresha chama hadi kuchukua nchi.
Lowasa akisimama urais ni kama vile mmepewa penalti mpige halafu golikipa keshasepa hayupo golini.. Kuanzia sasa hivi hadi mwaka 2015 mnatakiwa kuipiga hio penalti kwa ufundi ila wasi wasi wangu ni mpigaji(chadema)kupaisha mpira na kukosa goli ambalo ni la ushindi. Ushindi ambao watanzania(wengi) tunausubiria kwa hamu.
Na mkiikosa hio penalt mjue ndio mmeshakizika chama
Lowasa akisimama urais ni kama vile mmepewa penalti mpige halafu golikipa keshasepa hayupo golini.. Kuanzia sasa hivi hadi mwaka 2015 mnatakiwa kuipiga hio penalti kwa ufundi ila wasi wasi wangu ni mpigaji(chadema)kupaisha mpira na kukosa goli ambalo ni la ushindi. Ushindi ambao watanzania(wengi) tunausubiria kwa hamu.
Na mkiikosa hio penalt mjue ndio mmeshakizika chama