CCM mwendo mdundo! CHADEMA yaanguka

Kupingana na ukweli nayo pia ni aina ya umalaya. Jitu haliamini kama kamati za upinzani oversight committee ndio chanzo cha haya, jitu haliamini kama sahihi za Zitto wa CHADEMA ndio chanzo cha haya, jitu halijui kama JK alighairi kuvunja cabinet lakini tishio la M4C na kimbunga cha sombasomba ya Lema ndio kimewastua Magamba kuona kuna dalili za kukimbiwa na hata wabunge. Kupingana na ukweli nayo ni umalaya pia
 
Kila jambo lahitaji hatua, step one ni kuvuliwa cheo, then vyombo husika (DPP, Mahakama) kuendeleza mchakato kufuatana na dhana mzima ya utawala bora


...Ingekuwa ndiyo hivyo wahusika wote wa EPA, Richmond/Dowans, Ununuzi wa rada akina mkapa, vijisenti n.k., ndege ya Rais, helicopters na magari ya jeshi, wakupuaji wa Kiwira, mafisadi wanaokwapua mabilioni ndani ya Wizara mbali mbali, wezi wa wanyama wote kule kwenye mbuga za watalii n.k. wangekuwa lupango miaka mingi iliyopita lakini bado wanapeta tu mtaani.
 
watanzania jana wamekenua meno baada ya kipenzi chao mheshimiwa rais kikwete kukidhi kiu yao ya kuvunjwa baraza la mawaziri na kusudio la kuwafikisha katika vyombo vya sheria waliohusika kufisadi mali za umma.

Hatua hiyo imezidi kukipaisha ccm na wakati huo huo kukiporomosha chama pinzani chadema huku tukielekea 2015. Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya jk na kuipongeza cc ya ccm kuwa ina wapenda tanzania na manufaa kwa watanzania.

Poleni chadema, tafuteni hoja nyingine, ya kuvunja baraza la mawaziri haina mshiko tena!

r.i.p ccccccccm
 
Watanzania jana wamekenua meno baada ya kipenzi chao Mheshimiwa Rais Kikwete kukidhi kiu yao ya kuvunjwa baraza la mawaziri na kusudio la kuwafikisha katika vyombo vya sheria waliohusika kufisadi mali za umma.

Hatua hiyo imezidi kukipaisha CCM na wakati huo huo kukiporomosha chama pinzani CHADEMA huku tukielekea 2015. Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya JK na kuipongeza CC ya CCM kuwa ina wapenda Tanzania na manufaa kwa Watanzania.

Poleni CHADEMA, tafuteni hoja nyingine, ya kuvunja baraza la mawaziri haina mshiko tena!

Heri angepunguza mfumuko wa bei! kuboresha maisha ya wananchi! kuacha kabisa safari za kitalii! na kufungua acc kwa kila mwananchi! kwa sababu ktk ilani yake hajaahidi kuvunja baraza mawaziri!
 
Hongera CDM kwa kuongoza nchi wakati wote ambao CCM iko usingizini..
 
Kikwete asingeweza kamwe kufanya mabadiliko yeyote kama siyo kuwakiwa na CDM, hata hao wabunge wa ccm unaowaona kujidai kupiga kelele inawalazimu kufanya hivyo hata kwa kuigiza la sivyo watayapoteza majimbo yao kwa CDM.

Na CAG na namna anavyofanya kazi kwa sasa ni Dokta Slaa ndio alifanya marekebisho.
 
Yale maandamano ndio yamekufa kifo cha kawaida baada ya kauli ya Rais Kikwete..

Sijui Slaa itakuaje sasa na zoezi lake la kukusanya saini milioni 8 Tanzania nzima.
 
Huyu jamaa atakuwa amekimbizwa na waizi asubuhi hii, vipi umetokea club nini, tafakari kwanza kabla kuandika, hiyo hoja ilitoka kwa vyama pinzani full stop.
 
Yale maandamano ndio yamekufa kifo cha kawaida baada ya kauli ya Rais Kikwete..

Sijui Slaa itakuaje sasa na zoezi lake la kukusanya saini milioni 8 Tanzania nzima.


Umeonae.... una akili sana wewe...hiyo ni pipooooooooz power... Mkwara tu tayari nyuma geuka..... angeendelea kudhani ni upepo aone umma wa watanzania ulivyoamka...
 
usihofu chadema ina vichwa vingi tu,itaanzisha hoja nyingine kwa sababu hoja ya katiba,hoja ya baraza la mawaziri zimeshapita. Nashauri cdm ianze na hoja ya elimu ya chuo na sekondari bure halafu tufuatie hoja ya kushusha bei ya cement

bado hoja ya majimbo!
 
Watanzania jana wamekenua meno baada ya kipenzi chao Mheshimiwa Rais Kikwete kukidhi kiu yao ya kuvunjwa baraza la mawaziri na kusudio la kuwafikisha katika vyombo vya sheria waliohusika kufisadi mali za umma.

Hatua hiyo imezidi kukipaisha CCM na wakati huo huo kukiporomosha chama pinzani CHADEMA huku tukielekea 2015. Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya JK na kuipongeza CC ya CCM kuwa ina wapenda Tanzania na manufaa kwa Watanzania.

Poleni CHADEMA, tafuteni hoja nyingine, ya kuvunja baraza la mawaziri haina mshiko tena!

Ushuzi mtupu.
Si mlisema ni upepo tu, utapita?
Kama huna cha kuandika kachukue kopo ukachambe...nyama we
 
Upinzani wekeni kando, JK amekidhi matakwa ya watanzania, leo roho kwatu!!!

Pole samaki,japo mligoma kukabidhi ikulu 2010 kwa CDM bado mtacheza sana ngoma yetu ya M4C,mtake mstake,mtakatika tu.tutawaendesha hivyohivyo hadi akili iwakae sawa.JK si alisema NI UPEPO TU,UTAPITA!,amegundua kuwa ni KIMBUNGA na kama ni kupita kitapita na ccm ye mwenyewe kanyosha maelezo.MTANYOOKA MWAKA HUU hasa nyie mliotumwa hapa jamvini mkiwa mmeuza akili zenu kwa tamaa za ki ccm mje mtetee mafisadi,mtanyooka tu na akili zenu za maiti
 
Watanzania jana wamekenua meno baada ya kipenzi chao Mheshimiwa Rais Kikwete kukidhi kiu yao ya kuvunjwa baraza la mawaziri na kusudio la kuwafikisha katika vyombo vya sheria waliohusika kufisadi mali za umma.

Hatua hiyo imezidi kukipaisha CCM na wakati huo huo kukiporomosha chama pinzani CHADEMA huku tukielekea 2015. Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya JK na kuipongeza CC ya CCM kuwa ina wapenda Tanzania na manufaa kwa Watanzania.

Poleni CHADEMA, tafuteni hoja nyingine, ya kuvunja baraza la mawaziri haina mshiko tena!

Hovyoooooo! Kubwa zima j.I.n.g! Hakuna mwenye uwezo wa kuongoza nchi ssm hata mmoja. Yaani bila CDM, chama makini kwa ukombozi wa watanzania sijui nchi hii ingekuavipi mpaka sasa.

Tunajua uko hapa kutetea unga wako, unawasaliti watz kwa faida yako binafsi bt kuna watu wako kwa ajili ya watanzania na tutahakikisha nchi hii inakombolewa kutoka mikononi mwa mbwa mwitu.

Peopleeeeeeeeeeezzzz!!!
 
watanzania jana wamekenua meno baada ya kipenzi chao mheshimiwa rais kikwete kukidhi kiu yao ya kuvunjwa baraza la mawaziri na kusudio la kuwafikisha katika vyombo vya sheria waliohusika kufisadi mali za umma.

Hatua hiyo imezidi kukipaisha ccm na wakati huo huo kukiporomosha chama pinzani chadema huku tukielekea 2015. Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya jk na kuipongeza cc ya ccm kuwa ina wapenda tanzania na manufaa kwa watanzania.

Poleni chadema, tafuteni hoja nyingine, ya kuvunja baraza la mawaziri haina mshiko tena!

acha taarabu be logical !!
 
Back
Top Bottom