Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
salaam wana bodi
Hatimae nguvu m4c imeshika kasi. Chama cha Magamba inakoaminika ndo ngome cha Magambazi Mkoani kILIMANJARO hatimae wameukubali mziki. Habari kutoka ndani ya Chama hicho zinasema kuwa Jana kulikuwa na Kikao cha Kamati ya Siasa kilichohitimishwa na Kikao cha Halmashauri leo kikiwa na agenda moja kuu tu ya hali ya kisiasa ambayo imechafuka kutoka interior hadi mjini. Kila kona ni Vua gamba Vaa gwanda. Kitu ambacho kimewapa kiwewe. habari zaidi zinasema kuwa kwenye vikao vyote hivyo wana wasiwasi na Mjumbe mmoja wa Halmashauri ya Mkoa na Mjumbe wa Kamati ya Siasa pamoja Mwenyekiti wa UVCCM mabo ni marafiki kuwa ndo waliouleta huo mziki. Diwani Machahari mwenye alegi na watoto wadogo wa shule (ana kesi ya kubaka kwa hakimu Mkisi Moshi) Enea Mrutu alipohojiwa na Chanzo changu makini alisema yule mtoto ni nuksi ndo anawaleta na kuwapa hata data pia ni mjeuri kwani hata jana kwenye kikao cha kamati ya Siasa alimjibu Maghembe kuwa kujisifu na kujitutumua kuwa Nangera echunguke (mama yake Maghembe anaitwa Nangera. Maana ya Maneno hayo ni kuwa Nagera amejifungua uzao Bora) hakuleti dawa hospital , wala vitabu shuleni anatakiwa awajibike kwa waliomchagua sio kwa Nangera! " unajua jana Mh. alivyotoka kwenye kikao alikuwa anaweweseka sana kuhusu Mwenyekiti wa Vijana. kuwa kamkachifu sana kwenye kikao. Wajumbe hawa muhimu walipohojiwa kwa nyakati tofauti tofauti walisema kama kuna mwenye uwezo wa kuthibitisha tuhuma hizo apeleke kwenye vikao vinavyohusika akiwa na ushahidi.
PEOPLEEEEEE...........................................
Hatimae nguvu m4c imeshika kasi. Chama cha Magamba inakoaminika ndo ngome cha Magambazi Mkoani kILIMANJARO hatimae wameukubali mziki. Habari kutoka ndani ya Chama hicho zinasema kuwa Jana kulikuwa na Kikao cha Kamati ya Siasa kilichohitimishwa na Kikao cha Halmashauri leo kikiwa na agenda moja kuu tu ya hali ya kisiasa ambayo imechafuka kutoka interior hadi mjini. Kila kona ni Vua gamba Vaa gwanda. Kitu ambacho kimewapa kiwewe. habari zaidi zinasema kuwa kwenye vikao vyote hivyo wana wasiwasi na Mjumbe mmoja wa Halmashauri ya Mkoa na Mjumbe wa Kamati ya Siasa pamoja Mwenyekiti wa UVCCM mabo ni marafiki kuwa ndo waliouleta huo mziki. Diwani Machahari mwenye alegi na watoto wadogo wa shule (ana kesi ya kubaka kwa hakimu Mkisi Moshi) Enea Mrutu alipohojiwa na Chanzo changu makini alisema yule mtoto ni nuksi ndo anawaleta na kuwapa hata data pia ni mjeuri kwani hata jana kwenye kikao cha kamati ya Siasa alimjibu Maghembe kuwa kujisifu na kujitutumua kuwa Nangera echunguke (mama yake Maghembe anaitwa Nangera. Maana ya Maneno hayo ni kuwa Nagera amejifungua uzao Bora) hakuleti dawa hospital , wala vitabu shuleni anatakiwa awajibike kwa waliomchagua sio kwa Nangera! " unajua jana Mh. alivyotoka kwenye kikao alikuwa anaweweseka sana kuhusu Mwenyekiti wa Vijana. kuwa kamkachifu sana kwenye kikao. Wajumbe hawa muhimu walipohojiwa kwa nyakati tofauti tofauti walisema kama kuna mwenye uwezo wa kuthibitisha tuhuma hizo apeleke kwenye vikao vinavyohusika akiwa na ushahidi.
PEOPLEEEEEE...........................................