unajua humu jf ndo wamenifanya nianze kumfatilia kwa ukaribu Nape kwan watu walpokua wakichangia na kusema huwa hoja zake ni nyepes nilikua siamin km CCM pamoja na uzoefu wake wote na upinzani uliopo hasahasa kutoka CHADEMA ambayo ina vijana na wazee machachari wenye kujiamin na wenye uwezo mkubwa wa kufikiria mbali na kuona meng ktk nchi hii wangemuweka mtu km Nape ktk nafasi km hiyo..lakin kdri siku zlivyokua zinasonga mbele ndipo nilipoanza kuamini taratiiibu kua humu JF huwa hawabahatish mambo,kua kuna watu wenye muono wa mbali na wa hali ya juu...hata unapomfatilia Nape anapohojiwa hasa na wale waandish ambao hawako upande wowote wa kichama utasikia jins anavyotoa majibu mepesi na yasiyo na matumaini kuhusu chama chake.........................NDIPO NINAPOKUJUA NA MAFIKIRIO HAYA...KUA CCM HAKUNA KIONGOZ MWENYE UWEZO WA ZAIDI YA NAPE KTK NAFASN ALIYOPO AU CCM HAKUNA IMEVURUNDA KIASI CHA KWAMBA HAKUNA JIPYA TENA NA LENYE MVUTO LA KUWEZA KUTETEA CHAMA MBELE YA MACHO NA MASIKO YETU????Sipend nionekane kama naiponda CCM ila wakat mwingine natafuta japo kidogo cha kuweza kukisifia chama cha mapinduzi....