Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Leo Nimesoma kwenye Gazeti la Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwamba Mama Maria Nyerere ametaka Vicent akemewe na Vile vile lazima Vicent Amheshimu Benjamin Mkapa.
Sina Tatizo na Kauli ya Mama Maria bali nina Tatizo na HILA za CCM ( Shame on you CCM)
CCM Muache Mama Maria Apumzike.
1. Mama Maria Nyerere si Mwanasiasa ni kitendo cha Aibu kumuingiza Mkenge Mama huyu katika Malumbano ya Kisiasa yaliyoanzishwa na Mkapa.
2. Mkapa ni Mtu Mzima Propaganda haziwezi kumsafisha Dhidi ya Kauli zake Dhidi ya Vicent
3. Naiomba Familia ya Mwalimu Nyerere ( Madaraka, Makongoro na wengine) Kuweni Makini na CCM maana msipokuwa Makini Mama yenu anaweza kugeuzwa Kichaka cha Propaganda na Akaoneka si Mama wa Taifa bali Kituko katika Jamii. Hilo liko ndani ya Uwezo wenu, waambieni CCM kwamba Mkapa ni Mtu Mzima amerusha Shambulizi amejibiwa basi alimalize na si Kumtuma Mama Maria kwenye Vyombo vya Habari.
4. Kwako Jakaya, Mwacheni Mama wa Taifa Apumzike. Mkapa ni Mtu Mzima na anaweza kujitetea
Ni Ujumbe ambao ningependa kumfikishia Mama Maria Mwenyewe lakini niemshindwa naamini Watoto wake huwa wanapita hapa.
Sina Tatizo na Kauli ya Mama Maria bali nina Tatizo na HILA za CCM ( Shame on you CCM)
CCM Muache Mama Maria Apumzike.
1. Mama Maria Nyerere si Mwanasiasa ni kitendo cha Aibu kumuingiza Mkenge Mama huyu katika Malumbano ya Kisiasa yaliyoanzishwa na Mkapa.
2. Mkapa ni Mtu Mzima Propaganda haziwezi kumsafisha Dhidi ya Kauli zake Dhidi ya Vicent
3. Naiomba Familia ya Mwalimu Nyerere ( Madaraka, Makongoro na wengine) Kuweni Makini na CCM maana msipokuwa Makini Mama yenu anaweza kugeuzwa Kichaka cha Propaganda na Akaoneka si Mama wa Taifa bali Kituko katika Jamii. Hilo liko ndani ya Uwezo wenu, waambieni CCM kwamba Mkapa ni Mtu Mzima amerusha Shambulizi amejibiwa basi alimalize na si Kumtuma Mama Maria kwenye Vyombo vya Habari.
4. Kwako Jakaya, Mwacheni Mama wa Taifa Apumzike. Mkapa ni Mtu Mzima na anaweza kujitetea
Ni Ujumbe ambao ningependa kumfikishia Mama Maria Mwenyewe lakini niemshindwa naamini Watoto wake huwa wanapita hapa.