Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Vikao vikuu vya CC na NEC vimemalizika Dodoma kwa Edward Lowassa kulipua bomu kuwa Rais alikuwa anajua kila kilichokuwa kinaendelea kuhusu richmond. Pamoja na yote yaliyojadiliwa, hoja ya kuvuana magamba imerudishwa kamati kuu na pia Chiligati na Nape nao watafikishwa katika kamati ya maadili na ikibainika kuwa wametenda makosa hatua za kinidhamu juu yao zatachukuliwa.
Swali langu ni hili, tuliambiwa wamewapa siku 90 watuhumiwa wa ufisadi wajiondoe ktk chama. WATUHUMIWA HAWAJAJIONDOA except RA. Je, katika vuta nikuvute hii, nani ameibuka mshindi???
Swali langu ni hili, tuliambiwa wamewapa siku 90 watuhumiwa wa ufisadi wajiondoe ktk chama. WATUHUMIWA HAWAJAJIONDOA except RA. Je, katika vuta nikuvute hii, nani ameibuka mshindi???