Elections 2010 CCM mpya!

Ndani kuna kikwete,makamba,lowasa,rostam,sheikh yahaya..............
 
Humo ni sehemu za kuhifadhia maiti, ofcourse haiwezijulikana kama maiti zimekwishawekwa au la!. Unless otherwise we uliyeweka hiyo picha uyafunue ndipo uulize swali lako wakati sura zao zinaonekana, au coffin zote tunazoziona pembezoni mwa barabara zina something inside?.
 
Raia wasio na hatia hata chembe wameangukia pua kwa sababu ya kuikataa himaya ya mafisadi
 
siju huelewi nini.............hilo jeneza ni ccm iliyokufa na ndani yake kuna maiti ambayo wewe unaweza kutusaidia unafikiri ni wana ccm gani wapo ndani ya kaburi la ccm?
Humo ni sehemu za kuhifadhia maiti, ofcourse haiwezijulikana kama maiti zimekwishawekwa au la!. Unless otherwise we uliyeweka hiyo picha uyafunue ndipo uulize swali lako wakati sura zao zinaonekana, au coffin zote tunazoziona pembezoni mwa barabara zina something inside?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom