data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,149
- 22,726
Eti leo hii CCM.... wanavua magamba.. kisa UFISADI....... MKAMUONDOA SAMWELI SITA... mwenye uchungu na nchi hiii kwenye uspika aliyekua akipinga huo huo ufisadi.... Haingii akilini leo mwajivua Magamba.. Ivi CCM nawauliza mwataka tufanya wa TZ mazuzu mpaka lini... Nanukuu kauli ya Mh. MZINDAKAYA wakati anaaga bungeni alisema ..."kitakacho iondoa CCM...ni hizi shule za Kata".... nafikiri Mzee huyu alimanisha watanzania sasa ni waelewa...
naomba kutoa hoja..
naomba kutoa hoja..