rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Haki ya Mungu naapa 2015 mnatoka madarakani na kwa taarifa yenu mjiandae kuondoka nchi hii kwa sababu tutawatafuta mmoja mmoja kamwe hamtakwepa makali yetu ya upanga,hasira tuliyo nayo kwenu mtaiona siku si nyingi na gharama ya kulipa uhuni wenu kuanzia bungeni mpaka uongozi wa chini itakuwa kubwa