CCM mjiandae kuhama nchi

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Haki ya Mungu naapa 2015 mnatoka madarakani na kwa taarifa yenu mjiandae kuondoka nchi hii kwa sababu tutawatafuta mmoja mmoja kamwe hamtakwepa makali yetu ya upanga,hasira tuliyo nayo kwenu mtaiona siku si nyingi na gharama ya kulipa uhuni wenu kuanzia bungeni mpaka uongozi wa chini itakuwa kubwa
 
Taratibu mkuu, usiwastue, tumwombe Mungu atupe uzima tufikie siku ya siku tushuhudie utamu watakaoupata wakigeuziwa kibao.
 
Haki ya Mungu naapa 2015 mnatoka madarakani na kwa taarifa yenu mjiandae kuondoka nchi hii kwa sababu tutawatafuta mmoja mmoja kamwe hamtakwepa makali yetu ya upanga,hasira tuliyo nayo kwenu mtaiona siku si nyingi na gharama ya kulipa uhuni wenu kuanzia bungeni mpaka uongozi wa chini itakuwa kubwa

Mabadiliko kwa ajili ya maendeleo, siyo mabadiliko kwa ajili ya kuwatafuta watu. Utabaki na nani kujenga nchi kama utawafukuza wana-CCM? au haujui kwamba SLAA, MBOWE,SHIBUDA, MPENDAZOE, ZITTO, MILLYA, MNYIKA wote ni wana CCM? au kwa vile walijivua magamba? halafu naamini kabisa wewe siyo Mtanzania kwani mtanzania hawezi kutoa kauli za uvunjifu wa amani kiasi hicho, hali ambayo haikuzoeleka kabisa katika nchi yetu. Labda utuambie watanzania umejiandaa vipi kwa hicho ulichokiandika. Mods tusaidieni kuondoa threads zenye lengo la kuwagawa watanzania na kuhatarisha amani.
 
Tutaanza na mtoto wa rais, Riz1 atueleze vizuri kuhusu u-bilionea wake.
 
Haki ya Mungu naapa 2015 mnatoka madarakani na kwa taarifa yenu mjiandae kuondoka nchi hii kwa sababu tutawatafuta mmoja mmoja kamwe hamtakwepa makali yetu ya upanga,hasira tuliyo nayo kwenu mtaiona siku si nyingi na gharama ya kulipa uhuni wenu kuanzia bungeni mpaka uongozi wa chini itakuwa kubwa

Una hasira sana Mkuu punguza kidogo!
 
Haki ya Mungu naapa 2015 mnatoka madarakani na kwa taarifa yenu mjiandae kuondoka nchi hii kwa sababu tutawatafuta mmoja mmoja kamwe hamtakwepa makali yetu ya upanga,hasira tuliyo nayo kwenu mtaiona siku si nyingi na gharama ya kulipa uhuni wenu kuanzia bungeni mpaka uongozi wa chini itakuwa kubwa

Mkuu: Kuna baadhi wameshajiandaa kutokomea huko walikopeleka mafweza waliyotuibia. huko mikoani kuna mmoja alikutwa katika chumba cha hotel na pasipoti mbili na silaha nzito. Hizo pasipoti ni kwamba anaweza kuchomoka nchini ndani ya muda mfupi sana kupitia mipaka ya nchi kavu iwapo lolote linaloweza kutokea ghalfla.

Kumbukeni siasa ni kama upepo unwaweza kubadilisha direction any time.
 
Mabadiliko kwa ajili ya maendeleo, siyo mabadiliko kwa ajili ya kuwatafuta watu. Utabaki na nani kujenga nchi kama utawafukuza wana-CCM? au haujui kwamba SLAA, MBOWE,SHIBUDA, MPENDAZOE, ZITTO, MILLYA, MNYIKA wote ni wana CCM? au kwa vile walijivua magamba? halafu naamini kabisa wewe siyo Mtanzania kwani mtanzania hawezi kutoa kauli za uvunjifu wa amani kiasi hicho, hali ambayo haikuzoeleka kabisa katika nchi yetu. Labda utuambie watanzania umejiandaa vipi kwa hicho ulichokiandika. Mods tusaidieni kuondoa threads zenye lengo la kuwagawa watanzania na kuhatarisha amani.

mtanzania halisi ni yule ambae yuko tayari kuitetea nchiyake pia kutumia muda wake kwa kuliendeleza taifa na pia anayeweza kuwatumikia watanzania wenzake kwa uchungu wa mali za taifa, sasa kati ya huyu mtoa mada na hawa wezi wanaochota fedha zetu nani ni mtanzania na nani si mtanzania?
 
Haki ya Mungu naapa 2015 mnatoka madarakani na kwa taarifa yenu mjiandae kuondoka nchi hii kwa sababu tutawatafuta mmoja mmoja kamwe hamtakwepa makali yetu ya upanga,hasira tuliyo nayo kwenu mtaiona siku si nyingi na gharama ya kulipa uhuni wenu kuanzia bungeni mpaka uongozi wa chini itakuwa kubwa

Kwenye ndoto inawezekana kabisa ila ukiashaamka utabaki na kijiba cha roho na wivu wa kike!
 
Haki ya Mungu naapa 2015 mnatoka madarakani na kwa taarifa yenu mjiandae kuondoka nchi hii kwa sababu tutawatafuta mmoja mmoja kamwe hamtakwepa makali yetu ya upanga,hasira tuliyo nayo kwenu mtaiona siku si nyingi na gharama ya kulipa uhuni wenu kuanzia bungeni mpaka uongozi wa chini itakuwa kubwa

Kijana una hasira na njaa kali.
Ila kumbuka hasira za mkizi nafuu ya mvuvi, hasira hasara.
 
Amani ipi unaiongelea,...
Mabadiliko kwa ajili ya maendeleo, siyo mabadiliko kwa ajili ya kuwatafuta watu. Utabaki na nani kujenga nchi kama utawafukuza wana-CCM? au haujui kwamba SLAA, MBOWE,SHIBUDA, MPENDAZOE, ZITTO, MILLYA, MNYIKA wote ni wana CCM? au kwa vile walijivua magamba? halafu naamini kabisa wewe siyo Mtanzania kwani mtanzania hawezi kutoa kauli za uvunjifu wa amani kiasi hicho, hali ambayo haikuzoeleka kabisa katika nchi yetu. Labda utuambie watanzania umejiandaa vipi kwa hicho ulichokiandika. Mods tusaidieni kuondoa threads zenye lengo la kuwagawa watanzania na kuhatarisha amani.
 
haki ya mungu naapa 2015 mnatoka madarakani na kwa taarifa yenu mjiandae kuondoka nchi hii kwa sababu tutawatafuta mmoja mmoja kamwe hamtakwepa makali yetu ya upanga,hasira tuliyo nayo kwenu mtaiona siku si nyingi na gharama ya kulipa uhuni wenu kuanzia bungeni mpaka uongozi wa chini itakuwa kubwa

labour na conservative mbona mmoja akichukua nchi wanachama wa chama kingine hawahami ?ukiingia madarakani mahakama zipo kama kuna mwenye makosa ni kumfikisha kunakohusikana hakuna haja ya kuleta machafuko nchini tanzania
 
Haki ya Mungu naapa 2015 mnatoka madarakani na kwa taarifa yenu mjiandae kuondoka nchi hii kwa sababu tutawatafuta mmoja mmoja kamwe hamtakwepa makali yetu ya upanga,hasira tuliyo nayo kwenu mtaiona siku si nyingi na gharama ya kulipa uhuni wenu kuanzia bungeni mpaka uongozi wa chini itakuwa kubwa

maana ya demokrasia si kuuana na utakuwa wa ajabu sana kufanya unyama huo..... chakufanya baada ya kupata dola unaionesha nchi mabadiliko ya kweli na kuwapa wananchi yale waliyokuwa wanayahitaji ili nao waone donge
 
haki ya mungu naapa 2015 mnatoka madarakani na kwa taarifa yenu mjiandae kuondoka nchi hii kwa sababu tutawatafuta mmoja mmoja kamwe hamtakwepa makali yetu ya upanga,hasira tuliyo nayo kwenu mtaiona siku si nyingi na gharama ya kulipa uhuni wenu kuanzia bungeni mpaka uongozi wa chini itakuwa kubwa

pumpavuu wee , kazi ya wizi usha acha?? Watu wanataka mabadiliko kwa amni wewe unaleta usomalia hapa.. Wewe ndo utakuwa wa kwanza kuhama nchi , kwanza sijui kama utafika hiyo 2015 maana kazi yako ni ya hatari
 
misri wamekataa wafuasi wa mubarak kugombea,jee haiwezekani katiba mpya kukataza wana ccm kugombea cheo chochote?
 
Mabadiliko kwa ajili ya maendeleo, siyo mabadiliko kwa ajili ya kuwatafuta watu. Utabaki na nani kujenga nchi kama utawafukuza wana-CCM? au haujui kwamba SLAA, MBOWE,SHIBUDA, MPENDAZOE, ZITTO, MILLYA, MNYIKA wote ni wana CCM? au kwa vile walijivua magamba? halafu naamini kabisa wewe siyo Mtanzania kwani mtanzania hawezi kutoa kauli za uvunjifu wa amani kiasi hicho, hali ambayo haikuzoeleka kabisa katika nchi yetu. Labda utuambie watanzania umejiandaa vipi kwa hicho ulichokiandika. Mods tusaidieni kuondoa threads zenye lengo la kuwagawa watanzania na kuhatarisha amani.

Mkubwa, unauhakika kama Zitto na Mnyika wamewahi kuwa ccm, ninachofahamu, Zitto kajiunga na CDM akiwa na umri wa miaka 16 tu, huyu kakulia hapo, the same na Mnyika wote wamejiunga na chama wakiwa bado Teenagers, labda ulikuwa una maana hii, kabla ya mfumo wa vyama vingi kuingia, yaani before 1992, ukimaliza tu darasa la saba, unapewa kadi ya UVCCM then ukimaliza Secondary tu unakuwa mwanachama wa CCM in AUTO, hawa wamekilia kipindi cha mageuzi tu.
 
Back
Top Bottom