Sijui kama nakosea sijasikia gharama za uchaguzi walizotumia ccm,sheria inasemaje?tendwa anawafanya nini hawa?au tendwa nae anatetea ugali wake?mbona cdm waliwasilisha mapema ccm kuna nini? Au ndio kubebwa kwa chama tawala hata kinapovunja sheria?
Oooh kumbe gharama? nilidhani ghalama ingekuwa safi sana kama ukawasiliana na ofisi ndogo ya mtaa wa lumumba maana humu tupo wana cha cha cha cha malizia basi yaani ukiuliza swali kuhusu cdm tutakujibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.