Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
- Thread starter
- #161
tumeendelea vizuri na kampeni zetu,wao wanafumaniana sie twapiga kazi
ccm wanawatumia mabalozi kugawa vyandarua,na chakula cha msaada,tumewaambia wananchi,chakula wale,vyandarua wapokee,kura chadema,kimsingi umma wa Igunga umeamka sana,utadhani jimbo la mjini
kwa picha..chadema.tv
ccm wanawatumia mabalozi kugawa vyandarua,na chakula cha msaada,tumewaambia wananchi,chakula wale,vyandarua wapokee,kura chadema,kimsingi umma wa Igunga umeamka sana,utadhani jimbo la mjini
kwa picha..chadema.tv