Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,587
- 9,324
Bangoo nani kakudanganya kenya ipo saana tu ! kwani
kinachokuuma nini..? wakati wewe haitokuhusu..? [/FONT
Kama mtaanzisha mahakama yenu hakuna tatizo kwani huyo kadhi si mtamlipa nyie wenyewe kutoka sadaka na vitegauchumi vyenu? Msitake kuweka kadhi kwa kodi za wakristo, wapagani, hindu na buddha. Roman wana mahakama zao mbona hawadai wapewe ma-vx? Fanyeni kazi, someni, pambanueni mambo kisomi, mahakama ya kadhi hata mkitaka kuweka sheria ya kukata mikono na kupiga mawe watuhumiwa sie hatuna shida ila mjenge majengo yenu na muihudumie wenyewe. Mnakera sana nyie watu, kitu kama hicho hakihitaji uende shule hata Madrasa yenu tu inatosha. Yani mahakama yenu tuihudumie wakristo? Jioneni mlivyo jamani. Anyway mkililia tutawajengea ila msijelalamika maana kadhi atakuwa askofu kakobe!