Emashilla
Senior Member
- May 24, 2012
- 138
- 26
Nuru Maeda alidaganya vyombo vya habari kwamba alihamia CCM na wana-CHADEMA 15 na CCM wakajigamba kuwa waliibomoa ngome ya CHADEMA Arumeru. Huyu alikuwa mwenyekiti wa tawi la Magadirisho(CHADEMA) akavaa gamba mwezi uliopita. Nuru Maeda afananishwa na mtu ambaye nyumba inawaka moto na yeye huzidi kuingia ndani ya nyumba hiyo badala ya kujiokoa. James Ole Millya alimfananisha Nuru na mtu aliyetolewa kafara. CHADEMA yawavua magamba wanachama wa CCM zaidi ya 70 na wengine wanaendelea kuleta kadi za CCM hadi wakati naandika ujumbe huu nimepokea simu za watu wanohitaji kadi za CHADEMA.
Source: Eneo la mkutano wa CHADEMA kitongoji cha Magadirisho,Jumamosi 11 Agosti 2012
Source: Eneo la mkutano wa CHADEMA kitongoji cha Magadirisho,Jumamosi 11 Agosti 2012