Ndukidi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,498
- 1,297
Mama Porojo umeongea pwenti!unaweza kuwa una point lakini ukipanua wigo na kudhalilisha imani ya watu wengi unakuta hujamtukana FF peke yake bali watu wote wa imani hiyo.
Mama Porojo umeongea pwenti!unaweza kuwa una point lakini ukipanua wigo na kudhalilisha imani ya watu wengi unakuta hujamtukana FF peke yake bali watu wote wa imani hiyo.
Hapa Jf wapo wa Chadema na CCM utawaona tu kwenye mijadala inayoendelea..... kila chama kimewalipa na kuwatuma wa kwake kama ni kweli wapo.
Hata hivyo tusiwachanganye wafuasi/mashabiki na waliotumwa.
Tupe na majina yao kama kweli unachosema kila ukweli..... udaku street
nyie tatizo lenu mnafikiri kuwa kila mtu anawakati wa kushinda humu jf, nyie endeleeni kupeana sifa huku wenzenu wanatafu mkwanja,halafu wakifanikiwa mnasema mafisadi. Majobless utawajua tu kwa maneno yao ya wivu.
Eti unatafuta Mkwanja!!!!!! huoni aibu kusema maneno hayo JF yenyewe inakushinda kuchangia uwe premium member wewe vipNyie tatizo lenu mnafikiri kuwa kila mtu anawakati wa kushinda humu JF, nyie endeleeni kupeana sifa huku wenzenu wanatafu mkwanja,halafu wakifanikiwa mnasema mafisadi. Majobless utawajua tu kwa maneno yao ya wivu.