Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Hii isse itakuwa imemgusa sana YEBO YEBO
yaani mtu huyu alikuwa kimya halafu all ofb a sudden kwenye thread ya kumchambua Owino amerudi as if kanywa RED BULL
duh! noma tupu
sasa swali, je mmeshapewa taarifa za pesa mnazoandaa mkutano huko London? maana kuna habari kuwa ugomvi huu source ni hizo £60,000 zilizotolewa na jamaa wa Commonwealth
hebu tufafanulie
uhhuuuu uhuuuuu,
Hizo pesa za Commonwealth tena? Huyu Maina sasa nimeanza kumuogopa kama ukoma!