kuna wa kuoa huko! Manung'a yembe nyuso kama zege!hata wao pesa za kuhonga hivi sasa hawana, tutegemee kuoa rushwa ya ngono kushamiri 2015.
kuna wa kuoa huko! Manung'a yembe nyuso kama zege!
CCM isife jamani!tunataka 2015 tuwe na chama cha upinzani chenye nguvu.
mkuu kumbuka kuwa huko ni nyumbani m/kiti wa CCM mkoaKwa hamasa iliyoonekana katika mkutano uliohutubiwa na kamanda F.Mbowe mwenyekiti wa taifa CHADEMA hapa Vwawa,Mbozi,ccm itabwagwa hata kwa mbinu zozote watakazozitumia.Watu wa huku wameikataa ccm.Mikutano ya ccm inapuzwa na wananchi. Ccm ina harufu ya kifo.Kifo cha nyani kila tawi linateleza.Mbinu zote za ccm zimeshindwa.
Ama kweli CCM! Mbona wamekuchoka hivyo? Nisinge penda ufe, bali ukae pembeni uone mfano toka kwa CDM......
ccm ife jamani tumeichoka.CCM isife jamani!tunataka 2015 tuwe na chama cha upinzani chenye nguvu.
Maandalizi ya kuiaga CCM ndiyo tunayoifanya,ila ninachowasifu ni Roho ngumu kama za Paka.
mkuu kumbuka kuwa huko ni nyumbani m/kiti wa CCM mkoa