Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Hii ITIKADI ya vyama imefikia pabaya sana. Tupo kwenye Mafunzo ya women
emporewement politics leadership.
Bahati mbaya tumepewa karatasi ya kuandika majina Na vyama tutokavyo.
Likaja suala la Uongozi, imeleta shida sana, kwa bahati mbaya sijui nzuri
CHADEMA wako wengi wameshinda kwa karibu nafasi zote, CCM wamegomea matokeo imeniuma sana, tunapoteza muda kwa ujinga tu.
REMIJA MTEMA
emporewement politics leadership.
Bahati mbaya tumepewa karatasi ya kuandika majina Na vyama tutokavyo.
Likaja suala la Uongozi, imeleta shida sana, kwa bahati mbaya sijui nzuri
CHADEMA wako wengi wameshinda kwa karibu nafasi zote, CCM wamegomea matokeo imeniuma sana, tunapoteza muda kwa ujinga tu.
REMIJA MTEMA