Elections 2010 CCM kwa ahadi ndiyo wenyewe, Lowasa alimwahidi mwanafunzi huyu jibu la swali lakini

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Wakati Bw. Edward Lowasa akiwa Waziri Mkuu aliwahi kuulizwa swali na mwanafunzi wa shule ya msingi huko Mwanza vijijini na hakulijibu bali aliomba muda zaidi wa kulifanyia kazi. Bw. Lowasa baada ya Bunge letu machachari kumtupia virago vyake aliishia hadi leo hajalijibu au hata kumkabidhi mrithi wake Mheshimiwa Pinda kulipatia majibu ili kukidhi ahadi waliompa mwanafunzi mnyonge yule......................

Majibizano yalikuwa kama ifuatavyo:-

Mwanafunzi (swali)..........Hivi ni kwani serikali ya CCM imewarundikia watu wachache nafasi nyingi za uongozi wakati nchi hii ina waasomi kwenye taaluma mbalimbali wako tu hawana kazi?

Mheshimiwa Waziri Mkuu (Jibu)..............Nipe mfano wa swali lako.

Mwanafunzi..(ufafanuzi)............Huyo Mkuu wa Mkoa ana nyadhifa nyingi sana.

Mheshimiwa Waziri Mkuu (swali).......Nyadhifa zipi?

Mwanafunzi.(ufafanuzi)...yeye ni mbunge, mkuu wa mkoa, mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM, diwani

Mheshimiwa Lowasa alijikuna kichwa na kuweweseka na aka-ahidi (jibu).........Ninaomba muda wa kulitafutia jibu swali lako ambalo ni la kimsingi sana.


Mwanafunzi...........Ninashukuru.


Hadi leo mwanafunzi huyu hajajibiwa. CCM ni kawaida yao kulaghai raia kama watoto wadogo na baada ya kupata wanachotafuta basi huwatelekeza raia hao hadi uchaguzi mwingine ujao...a use and dump policy is in place for CCM

CHAGUA DR. SLAA CHAGUA CHADEMAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
usikumbushe mzee we acha tu mtoto na babake walipewa jambajamba haijapata tokea kwa ujasiri wake huo
 
Hivi huwa najiuliza sipati majibu
kama rais ambaye ni mwenyekiti wa baraza la mawaziri anafanya nini humo barazani mpaka waende yeye na mawaziri wake kujitathmini kwenye halmashauri kuu ya chama ambapo yeye ni mwenyekiti wake pia? nadhani Kungelikuwa fair kama endapo akitenganisha kofia na kubakia na moja pekee ili kutoa mwanya kwa wengine wenye vipaji vya uongozi kujitokeza.

CCM ya sasa inaundwa na kikundi cha watu wachache waliojilimbikizia madaraka na vyeo lukuki.
HAWANA MAANA KABISA HAWA
 
Ahsante kwa kutumbusha. To be specific, ilikuwa ni Ukerewe. TISS walimshughulikia sana, sijui kwa sasa yuko wapi. Yule mtoto ni shujaa mkubwa. Na alikuwa anasoma primary
 
Back
Top Bottom