Elections 2010 Ccm kuwa chama cha kwanza kukabidhi madaraka upinzani baada ya kushindwa

Jile79

JF-Expert Member
May 28, 2009
17,668
13,237
Ndugu zanguni kampeni zimefanywa kwa kiasi kikubwa ba zinaendelea ila kuna kila dalili ccm na kikwete wameshindwa kukata japo 1% ya kiu ya wat ya kuwa na maisha bora na watz wamekichoka chama hiki kizee na inaonesha ccm imekata tamaa na iko tayari kuachia uongozi wa nchi hii kwa amani na utulivu baada ya october 31.

MIAKA 50 BAADA YA UHURU INATOSHA SANA .TUNASHUKURU CCM KWA KUTUFIKISHA HAPA TULIPO . ACHIENI CHADEMA WATULETEE MABADILIKO YA KWELI.TUNAOMBA MUACHIE NCHI KWA AMANI.
 
chama hiki kizee na inaonesha ccm imekata tamaa na iko tayari kuachia uongozi wa nchi hii kwa amani na utulivu baada ya october 31.

Sina uhakika na hii kauli. Nionavyo watajaribu kufanya kila liwezekano ili kulinda ulaji wao hapo Ikulu..............
 
Nasikia kikwete sio mtu wa vurugu na naye anasikitika sana watz kuwa masikini pamoja na rasilimali lukuki walizo nazo hivyo yuko tayari kuachia kwa amani bila kumwaga damu
 
Nasikia kikwete sio mtu wa vurugu na naye anasikitika sana watz kuwa masikini pamoja na rasilimali lukuki walizo nazo hivyo yuko tayari kuachia kwa amani bila kumwaga damu

Kwani mnafikiri rais ni JK peke yake! ipo timu kubwa sana na hao waliopo nyuma yake ndo wanafaidi hii nchi zaidi ya jk, yaya ni mtu wa kuandikiwa cheque na wakadiposit mawe yake. na sometimes hata safari anapangiwa tu na wajumbe wa taasisi yake ya urais.
Hivyo hata kama yeye yu radhi kwa kuchoshwa na utendaji mbovu wa jamaa zake, lakini hao jamaa hawatakubali
na ndio maana sasa wanahaha kugawa rushwa kila kona. Juzi usiku nimeukuta mkutano mkuwa wa wanaccm wakipanga mikakati usiku hopefully ndo mida yao ya kugawana fedha.
Hivyo bado hawajakata tamaa na wanapigana hadi tone la mwisho huku wizi ukiendelea, chamsingi tuendelee kuwasihi watu waliokata tamaa,
Bianfsi nakutana nao watu kibao wakisema Hata upigie chama kingine ccm itashinda tu.
au basi tu ndo hiyo amani, lakini ccm tumechoshwa nayo
au nasi wasomi kuogopa foleni

TUWASIHI WAPIGE, NASI TWENDENI, TUWAELIMISHE KUWA, " HATI MILIKI YA AMANI TUNAYO SISI NA SIYO IPO CCM!!!!!!
 
fedha za EPA ALIZOIBA KIKWETE NA CCM YAKE ITATUTESA MIAKA MINGI IJAYO NA ITANUNUA SANA VYOMBO VYA HABARI KM WALIVYONUNUA TBC,CLOUDS, VYOMBO VYA UMMA NK....TUSEME SASA BASI NA KIWETE AACHE KUDANGANYA WATZ KUWA KUNA WATU WANALETA UDINI WAKATI YEYE NDIYO MDINI NAMBA MOJA KWA KUWEKA MAMBO YA DINI YAKE YA KIISLAMU KWENYE ILANI YA CCM NA KUINADI.......AACHE UNAFIKI
Kwani mnafikiri rais ni JK peke yake! ipo timu kubwa sana na hao waliopo nyuma yake ndo wanafaidi hii nchi zaidi ya jk, yaya ni mtu wa kuandikiwa cheque na wakadiposit mawe yake. na sometimes hata safari anapangiwa tu na wajumbe wa taasisi yake ya urais.
Hivyo hata kama yeye yu radhi kwa kuchoshwa na utendaji mbovu wa jamaa zake, lakini hao jamaa hawatakubali
na ndio maana sasa wanahaha kugawa rushwa kila kona. Juzi usiku nimeukuta mkutano mkuwa wa wanaccm wakipanga mikakati usiku hopefully ndo mida yao ya kugawana fedha.
Hivyo bado hawajakata tamaa na wanapigana hadi tone la mwisho huku wizi ukiendelea, chamsingi tuendelee kuwasihi watu waliokata tamaa,
Bianfsi nakutana nao watu kibao wakisema Hata upigie chama kingine ccm itashinda tu.
au basi tu ndo hiyo amani, lakini ccm tumechoshwa nayo
au nasi wasomi kuogopa foleni

TUWASIHI WAPIGE, NASI TWENDENI, TUWAELIMISHE KUWA, " HATI MILIKI YA AMANI TUNAYO SISI NA SIYO IPO CCM!!!!!!
 
Back
Top Bottom