Ccm kutumia benki ya wakulima kununua kura 2015

andrews

JF-Expert Member
Mar 28, 2012
1,679
152
CCM HAWAACHI KUOTA MCHANA KWEUPE,KATIKA KAMPENI ZAO ZA KUWAPUUZA WATANZANIA WAMEANDAA ULAGHAI MWINGINE ILI WAPATE KURA ZA WAPUMBAVU.
1.KUANZISHWA BENKI YA WAKULIMA
2.KUANZISHA BENKI YA VIJANA
KATIKA UANZISHWAJI BENKI HIZO SERIKALI INA MPANGO WA KUWAHADAA WATZ KWA KUWAAMBIA WATAWAKOPESHA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU,KUANZIA MILLION 1MPAKA 15.LAKINI KATIKA UOMBAJI HUO UNAHUSISHA WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KAMA MAWAKALA WAO ILI UPATE MKOPO,CHA KUCHEKESHA ZAIDI INAAMINIKA CCM IMEJIPANGA KUTUMIA KITAMBULISHO CHA URAIA NA HASA CHA KUPIGIA KURA KAMA MTAJI WA KUWAPATA HAO WALENGWA.NA KUHAKIKISHA WANAOCHUKUA MIKOPO WOTE WATAIPIGIA CCM UCHAGUZI KUANZIA UDIWANI WA 2014 NA UCHAGUZI MKUU 2015.LAKINI WAJUMBE WENGI WANA WASIWASI KUWA VIJANA WALIO WENGI WAMEELEVUKA SANA NA WATAKULA PESA ZAO NA KUWAPIGIA WAPINZANI.CCM ILITUMIA MKUTANO WA JANGWANI KAMA KIPIMA JOTO SASA WAMEANZA KUINGIWA NA WASIWASI MAANA MKUSANYIKO ULE HAUKUKAMILIKA BILA YA PESA SASA WANAJIULIZA BILA VIKINDI VYA SANAA KWELI WATAKUBALIKA,MJUMBE ALIYE KARIBU NA NAPE KASEMA CHADEMA INAWANYIMA USINGIZI KULIKO HATA MAGONJWA YA WAZAZI WAO AU WANANDOA WAO.
BINTI MREMBO LUMUMBA CCM
:confused2:
 
walete tu hiyo mihela tuchangie M4C si ni pesa za baba zetu bwana..
zitakua kama mabilioni mengine ya JK
 
ZOEZI LA JANA JANGWANI LIMEWAFANYA WATENDAJI NDANI YA CCM KUGAWANYIKA ,SABABU WENGINE WANASEMA WAKATI WABUNGE WA CCM WANAFUKUZWA KAZI KWA UBADHILIFU NA MWINGINE AKIKAMATWA KWA RUSHWA VIMEWAFANYA WANASIASA MAKINI KUKATAA MKUTANO HUO WAKIUONA KAMA NI AJENDA YA NAPE NA GENGE LAKE WANAOHOFIA MABADILIKO MAKUBWA YANACHOKIKABILI CHAMA HICHO NA WENGINE WANATAKA NAFASI YA NAPE APEWE MSOMI MAANA ELIMU YAKE INAKIDIDIMIZA CHAMA MAANA HAENDANI NA KIWANGO CHA KISASA:clap2:
 
CCM HAWAACHI KUOTA MCHANA KWEUPE,KATIKA KAMPENI ZAO ZA KUWAPUUZA WATANZANIA WAMEANDAA ULAGHAI MWINGINE ILI WAPATE KURA ZA WAPUMBAVU.
1.KUANZISHWA BENKI YA WAKULIMA
2.KUANZISHA BENKI YA VIJANA
KATIKA UANZISHWAJI BENKI HIZO SERIKALI INA MPANGO WA KUWAHADAA WATZ KWA KUWAAMBIA WATAWAKOPESHA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU,KUANZIA MILLION 1MPAKA 15.LAKINI KATIKA UOMBAJI HUO UNAHUSISHA WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KAMA MAWAKALA WAO ILI UPATE MKOPO,CHA KUCHEKESHA ZAIDI INAAMINIKA CCM IMEJIPANGA KUTUMIA KITAMBULISHO CHA URAIA NA HASA CHA KUPIGIA KURA KAMA MTAJI WA KUWAPATA HAO WALENGWA.NA KUHAKIKISHA WANAOCHUKUA MIKOPO WOTE WATAIPIGIA CCM UCHAGUZI KUANZIA UDIWANI WA 2014 NA UCHAGUZI MKUU 2015.LAKINI WAJUMBE WENGI WANA WASIWASI KUWA VIJANA WALIO WENGI WAMEELEVUKA SANA NA WATAKULA PESA ZAO NA KUWAPIGIA WAPINZANI.CCM ILITUMIA MKUTANO WA JANGWANI KAMA KIPIMA JOTO SASA WAMEANZA KUINGIWA NA WASIWASI MAANA MKUSANYIKO ULE HAUKUKAMILIKA BILA YA PESA SASA WANAJIULIZA BILA VIKINDI VYA SANAA KWELI WATAKUBALIKA,MJUMBE ALIYE KARIBU NA NAPE KASEMA CHADEMA INAWANYIMA USINGIZI KULIKO HATA MAGONJWA YA WAZAZI WAO AU WANANDOA WAO.
BINTI MREMBO LUMUMBA CCM
:confused2:

Kila Mtz na kila kijana ana haki ya mikopo hiyo; ni kodi zetu
 
kama wanaanzisha kwa pesa za chama chao, kutumia wajumbe wao wa nyumba 10 sio tatizo, maana ni mradi wao.ila ikiwa benki hizo zitaanzishwa kwa pesa ya serikali (uma), malmaka itakayohusika ni serikali ya kijiji/mtaa. watz wa leo hawatakubali kupitia kwa mjumbe wa ccm.kufanya nini? yeye ni nani katika nchi hii? wasithubutu kuingiza siasa katika jambi hilo.watazidi kujichimbia kaburi.
 
Bado CCM ina ndoto ya kutumia mtaji wake mkubwa, yaani UMASKINI wa waTZ!!!! Safari hii waTZ wameamka!

Hela zenyewe watapata wapi!!
 
​ni majambazi mimi nitafadhiri mapanga 2015 tuwatoe madarakani wakiiba kura lazima waoodoke kwa nguvu au mikuki tunajiandaakuanzia mikoa inayopakana na kagame lazima tuweke historia
 
ni majambazi mimi nitafadhiri mapanga 2015 tuwatoe madarakani wakiiba kura lazima waoodoke kwa nguvu au mikuki tunajiandaakuanzia mikoa inayopakana na kagame lazima tuweke historia[/QUsisiemu kwa herin kwa mtaji wa benki ya vijana na wakulima, watu wamebadilika.kuanzishwa kwa shule za kata hata kama hazina viwango bado imesaidia kubadili fikra za vijana hususan maeneo ya vijijini.
 
Back
Top Bottom