CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

Ikishinda mtafanyaje? nauliza tu

Mbona chadema mnaonekana madikteta; heshimuni mahakama

Wananchi wanatakiwa kuelimishwa madhara ya chadema kwa taifa..

Eh...kweli hata we kibaraka...so kati ya Chadema na 'Chama Chenu Magumashi' nani dikteta?
 
Kwa uhakika ccm wanajua matokeo ya jimbo la arusha mjini. Kama alivyuosema thinker hapo juu -- itakuwa vigumu sana kumpata campaign manager kwa sababu ya kujua matokea. Mara nyingi ni hulka ya binadamu kutotaka kuji associate na obvious failure.

Kwa upande mwingine aibu siyo ya umeneja tuu bali aibu ni wao kutosimamisha mtu. Hii ndiyo itakuwa aibu kubwa. Lakini abu nyingine ni ile ya atakae simamishwa kwani anajua kura ziendako. Ni lazima cdm ichukue.

Aibu nyingine yenye kichekesho ni ccm kutokuwa na aibu -- duh. Hawa mabwana utafikiri hamnazo kabisa.
 
Ikishinda mtafanyaje? nauliza tu

Mbona chadema mnaonekana madikteta; heshimuni mahakama

wew acha kuishi ndanio ya vaccum ivi...lusinde alitukana arumeruu je kachangia nassari kushindwa.... sasa tukisema kesi imeamriwa bila mantiki utakataa? sasa kuna utawala bora apo au utawala wa sheria? au yule mama asio na mvuto wa kisiasa angeshinda kwa lip iko waz kesi aina mantik ukum ilikua imeshafahamika na kama ccm wakishinda arumeru bac "mawe yatapaza sauti" amna jipya mafisadi mjipangeeeeeeee...............
 
Kuna uwezekano mkubwa kuwa CCM hawatasimamisha mgombea Arusha Mjini.
Wanajua kutakuwa na kura za hasira kwa jinsi kesi ilivyoendeshwa na namna hukumu ilivyotolewa.
Pili wanajua kuwa chama hakina tena mvuto kwa wananchi hasa hasa mijini na kama uchaguzi utarudiwa yatatokea yale yale ya Arumeru Mashariki.

Tatu, katika CCM ya sasa hakuna tena kada anayeamika kwa wananchi, Nkapa kachemsha na sidhani yuko tayari kudhalilishwa mara ya pili ndani ya miezi mitatu, Six amejaribu Kirumba kachemsha, Mama Kilango kachemsha Kiwira(vijijini), sijui sasa watamtuma nani akamsaidie mgombea wao. Kwa upande mwingine CHADEMA hata wakinituma mimi, ambaya hata sina cheo, nitawaongoza kushinda.

Kama wakifanya kosa wakasimamisha mgombea, na kulingana na upepo wa kisiasa wa sasa watapoteza tena uchaguzi, watakuwa wameamua rasimi kurudisha serikali mikononi mwa Wananchi kwani 2015 itakuwa ni kujumlisha kura tu!

Naona kuna uwezekano mkubwa kimada wa sisiyemu anaweza kuombwa asimamishe mgombea ambaye magamba watamuunga mkono nyuma ya pazia na kujiepusha na aibu ya kushindwa mara mbili ndani ya miezi mitatu.

Naomba kuwasilisha

kwa hiyo walitaka kuipa hasara tu serikali yao?
 
Kwa uhakika ccm wanajua matokeo ya jimbo la arusha mjini. Kama alivyuosema thinker hapo juu -- itakuwa vigumu sana kumpata campaign manager kwa sababu ya kujua matokea. Mara nyingi ni hulka ya binadamu kutotaka kuji associate na obvious failure.

Kwa upande mwingine aibu siyo ya umeneja tuu bali aibu ni wao kutosimamisha mtu. Hii ndiyo itakuwa aibu kubwa. Lakini abu nyingine ni ile ya atakae simamishwa kwani anajua kura ziendako. Ni lazima cdm ichukue.

Aibu nyingine yenye kichekesho ni ccm kutokuwa na aibu -- duh. Hawa mabwana utafikiri hamnazo kabisa.

Hivi unadhani CCM kuna roho ya uoga mbele ya pesa?
Jamaa hawajali tena watajazana Arusha mpaka utashangaa.
Arusha CDM damu kama kwetu Rockycity.
peoplessssssssssssssss
 
Matokeo ya Arumeru na baadae defection ya Bwana OleMillya imeleta mwamko na Ari na Ujasiri mwingi miongoni mwa Wananchi..Jamii za Wilaya ya WAMAASAI(NGORONGORO,MONDULI,KITETO,LONGIDO na SIMANJIRO) wanajiskia huru sasa kutamka Kuwa CCM si Mama wala BABA wao na hivyo kuhama waziwazi ni LAZIMA...Nadhani wanaHaki na Uhuru wa kutamka hivyo..kuwa ccm kwao ni njaa....
Heko Sana Vijana Mlioko Mstari wa Mbele kUwamasisha Jamii kusema Hapa kwa MAGAMBA....
 
hawakutumia akili wakati wanatengua ubunge wa Lema wakati huo wanajua kabisa hilo jimbo ni la Chadema
 
Kwa ninavyoifahamu Arusha, hata asimame Kikwete Mwenyewe Kugombea Arusha Mjini, hapati kitu....Nchi nzima ihamie Arusha....anyway

Napita tu, nikaiona hii.
 
Ikishinda mtafanyaje? nauliza tu

Mbona chadema mnaonekana madikteta; heshimuni mahakama

Wananchi wanatakiwa kuelimishwa madhara ya chadema kwa taifa..
Hueleweki bana wee ni popo au kinyonga tena unarangi gani ndani yako????:glasses-nerdy:
 
Ikishinda mtafanyaje? nauliza tu

Mbona chadema mnaonekana madikteta; heshimuni mahakama

Wananchi wanatakiwa kuelimishwa madhara ya chadema kwa taifa..


Itakuwa maajabu ya Ngamia kupenya katika tundu la sindano.
ile aibu ya Arumeru Mash. itakuwa cha mtoto.
 
Wakithubutu tu kusimamisha mgombea prestige yao itakufa kabisaaaa si kushuka tu bora wawaachie cdm wachukue kiulaini jimbo lao!!!
 
Ikishinda mtafanyaje? nauliza tu

Mbona chadema mnaonekana madikteta; heshimuni mahakama

Wananchi wanatakiwa kuelimishwa madhara ya chadema kwa taifa..

kama kusababisha kuvunjwa kwa baraza la mawaziri..
 
arusha watasimamisha tu kwani kuna uchaguzi wa kata sita naikitokea kutakuwa na uchaguzi wa mbunge...
 
Back
Top Bottom