Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
??? Dr. wa ukweli? chuo gani hicho alichopatia shahada ya Phd?
Kapata U Dr wake pale UDOM
??? Dr. wa ukweli? chuo gani hicho alichopatia shahada ya Phd?
Ubongo wako utakuwa una mafunza maana si bure...au ndo mambo ya mwezi mchanga. hoooooooofyo!
Ha ha haaaaaa ni Dr. wa kupora wake za watu bana. Jamaa wanawake wote hawa wamejaa anamfuata mke wa mtu halafu eti Padri, kweli siku ya hukumu adhabu yao wataiona.