kibavu
Senior Member
- Oct 15, 2008
- 136
- 82
Hodi hapa barazani, salaam!
Hoja ya haja,
Kwakua wakati wa uteuzi wa spika walitumia kigezo cha jinsia ili kuwaengua baadhi ya watu (Samuel Sitta mathalani) kutoka kwenye kinyanganyiro cha uspika, je kigezo hicho hicho kinaweza kutumika mwaka 2015 kuteua mgombea mwanamke kwenye Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM. Hii inatokana na ukweli kwamba mvutano unaweza kuwa mkubwa kiasi cha kutishia mgawanyiko wa chama.
Naomba kuwasilisha.
NB: hii ni post yangu ya kwanza hapa jamvini nipo tayari kukosolewa kama hoja itaonekana kuwa na uzito wa unyoya.
Hoja ya haja,
Kwakua wakati wa uteuzi wa spika walitumia kigezo cha jinsia ili kuwaengua baadhi ya watu (Samuel Sitta mathalani) kutoka kwenye kinyanganyiro cha uspika, je kigezo hicho hicho kinaweza kutumika mwaka 2015 kuteua mgombea mwanamke kwenye Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM. Hii inatokana na ukweli kwamba mvutano unaweza kuwa mkubwa kiasi cha kutishia mgawanyiko wa chama.
Naomba kuwasilisha.
NB: hii ni post yangu ya kwanza hapa jamvini nipo tayari kukosolewa kama hoja itaonekana kuwa na uzito wa unyoya.