Elections 2010 CCM kusimamisha mgombea mwanamke 2015?

kibavu

Senior Member
Oct 15, 2008
136
82
Hodi hapa barazani, salaam!
Hoja ya haja,
Kwakua wakati wa uteuzi wa spika walitumia kigezo cha jinsia ili kuwaengua baadhi ya watu (Samuel Sitta mathalani) kutoka kwenye kinyang’anyiro cha uspika, je kigezo hicho hicho kinaweza kutumika mwaka 2015 kuteua mgombea mwanamke kwenye Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM. Hii inatokana na ukweli kwamba mvutano unaweza kuwa mkubwa kiasi cha kutishia mgawanyiko wa chama.
Naomba kuwasilisha.
NB: hii ni post yangu ya kwanza hapa jamvini nipo tayari kukosolewa kama hoja itaonekana kuwa na uzito wa unyoya.
 
Yawezekana na pengine hii ndio njia pekee ya kuepukana na mpasuko mkubwa ndani ya chama...yaani makundi yote yakose....anapewa nafasi mtu kama Asha Migiro au Tibaijuka!

Hodi hapa barazani, salaam!
Hoja ya haja,
Kwakua wakati wa uteuzi wa spika walitumia kigezo cha jinsia ili kuwaengua baadhi ya watu (Samuel Sitta mathalani) kutoka kwenye kinyang’anyiro cha uspika, je kigezo hicho hicho kinaweza kutumika mwaka 2015 kuteua mgombea mwanamke kwenye Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM. Hii inatokana na ukweli kwamba mvutano unaweza kuwa mkubwa kiasi cha kutishia mgawanyiko wa chama.
Naomba kuwasilisha.
NB: hii ni post yangu ya kwanza hapa jamvini nipo tayari kukosolewa kama hoja itaonekana kuwa na uzito wa unyoya.
 
Labda mpango wa Mwinyi mdogo ugome ndipo wagombea wengine CCM watazuiliwa mbali kwa kigezo cha zamu ya akina mama kama ilivyotokea kwenye uspika.
 
Hodi hapa barazani, salaam! <br />
Hoja ya haja,<br />
Kwakua wakati wa uteuzi wa spika walitumia kigezo cha jinsia ili kuwaengua baadhi ya watu (Samuel Sitta mathalani) kutoka kwenye kinyang’anyiro cha uspika, je kigezo hicho hicho kinaweza kutumika mwaka 2015 kuteua mgombea mwanamke kwenye Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM. Hii inatokana na ukweli kwamba mvutano unaweza kuwa mkubwa kiasi cha kutishia mgawanyiko wa chama. <br />
Naomba kuwasilisha.<br />
NB: hii ni post yangu ya kwanza hapa jamvini nipo tayari kukosolewa kama hoja itaonekana kuwa na uzito wa unyoya.
<br />
<br />
 
kama cdm wataendelea na spidi hii hii hakuna mgombea mwanamke kutoka ccm atakayefua dafu mbele ya mgombea kutoka cdm
 
kama cdm wataendelea na spidi hii hii hakuna mgombea mwanamke kutoka ccm atakayefua dafu mbele ya mgombea kutoka cdm

Wacha uongo wewe kwanini asishinde? acha kuendekeza mfumo dume, mwanamke na mwanamume wanafanana kiutendaji kwani urais unahitaji akili au msuli? isitoshe CCM hata wakimsimamisha Anna Makinda anaweza kupita kwa kishindo itategemeana na utashi wa akina Lewis Makame na kundi lake lililowekwa na Chama pale kutekeleza maagizo ya chama. Ndiyo maana inatakiwa mimi na wewe tukeshe tukiomba dua katiba yetu ibadilishwe au tupate Tume huru ya uchaguzi ili kwa mara ya kwanza tushuhudie uchaguzi nchini kwetu.
 
Piga ua, mafisadi nguvu zao za pesa watazipeleka kwa chaguo lao ambaye ni Sophia Simba achukue Urais kilaini huku akiwacha akina Dr. Slaa, Peter Mziray, Husein Rungwe na Dovutwa kwa mbali!
 
Wacha uongo wewe kwanini asishinde? acha kuendekeza mfumo dume, mwanamke na mwanamume wanafanana kiutendaji kwani urais unahitaji akili au msuli? isitoshe CCM hata wakimsimamisha Anna Makinda anaweza kupita kwa kishindo itategemeana na utashi wa akina Lewis Makame na kundi lake lililowekwa na Chama pale kutekeleza maagizo ya chama. Ndiyo maana inatakiwa mimi na wewe tukeshe tukiomba dua katiba yetu ibadilishwe au tupate Tume huru ya uchaguzi ili kwa mara ya kwanza tushuhudie <i><b><font color="red">uchaguzi</font></b></i> nchini kwetu.
<br />
<br />
 
kwa namna moja au nyingine ni kama tuko pamoja kifikra lakini kamwe sijagusia kuhusu jinsia ya mgombea kutoka cdm na tiyari umesha nihusisha na mfumo dume. Kulikoni.
 
Piga ua, mafisadi nguvu zao za pesa watazipeleka kwa chaguo lao ambaye ni Sophia Simba achukue Urais kilaini huku akiwacha akina Dr. Slaa, Peter Mziray, Husein Rungwe na Dovutwa kwa mbali!

sofia simba akiwa rais nahama nchi
 
wakati mwingine hata kama si kawaida yako kuwa makini katika matamshi na maandiko yako jaribu walau kuonekana makini. Utaletaje jina la Sophia simba katika mada nzito kama hii.
 
Back
Top Bottom