Kamaka
JF-Expert Member
- Jun 7, 2010
- 563
- 33
WAKUU,Kutokana na mapokezi makubwa aliyoyapata Dk W.Slaa Arusha Mjini kwenye ngome ya CCM unafikiri itawezekana kwa chama hicho kutetea jimbo lake??????????????.mpaka sasa Dr.Batilda ameanza cheche zake ,kwa kuwashawishi wapiga kura hususan wakina mama waweze kumpa kura ya ndio.Naomba kuwakilisha.