Ufisadi uko ndani ya damu yake hawezi kuacha; toka lini nyani akaacha kula mahindi?
he he he nyani akaacha kujikuna chawa...ufisadi ndiyo maisha ya huyu mkuu
Ufisadi uko ndani ya damu yake hawezi kuacha; toka lini nyani akaacha kula mahindi?
Nakubaliana na hoja yako, HIYO ni sababu tosha Dr. Slaa kachomooa Kugombea Arumeru alijuwa hataweza kupangua makombora ya Lowasa wakati wa kampeni. POLENI CDM huu utakuwa uchaguzi mdogo wa tatu kulalia pua; kumbukeni IGUNGA, UZINI
Kama lowasa akiachiwa meru ,hakika ccm itashinda hili halina ubishi hata kidogo ( iwapo tu sioi sumari atakuwa mgombea ) . Wameru siku zote wanaomba kwa Mungu nawao watoe rais wa hii nchi na karata yao ni kwa lowassa . Wanaamini kama sioi atakuwa mbunge na lowassa rais watapata maendeleo kwa haraka jimboni kwao ,hili halina ubishi hata kidogo . Kwa upande wa chadema wanahitaji kazi ya ziada ili waweze kuwashawishi wameru .
NB . LOWASSA NI MKWE WA SIO SUMARY.
Lowasa ataenda na sera gani? Wakati hana mvuto kwa mlala hoi yeyote?
Arumeru is another republic . Tokea ile laana ya kuwaua wale wamishenari na kuwazika alafu kuwafukua baada ya siku 3 na kuwafanyia tohara hii kitu haitawaacha paka watubu.
Ulichokiandika kinauhusiano gani na mada tafakari kidogo kabla hujaandika pumba zako hapa.
Inaelezezwa kwamba uamuzi wa CCM Mkoa wa Arusha, wanachama wa Arumeru na wa Arusha kwa ujmla kumtaka Lowassa, kuongoza jahazi katika kampeni hizo za Arumeru.
Umetokana ukweli kuwa changamoto nyingi ambazo zinahitaji mtu jasiri kama Lowassa, kuzitolea ufafanuzi.
Inasemekana CCM Arusha wanakwenda Arumeru na kauli mbiu moja tu kurejesha jimbo letu. Mambo mengine baadae.