CCM kumtwisha mzigo Lowassa Arumeru Mashariki

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,903
32,312
Wanabodi,

Chama cha Mapinduzi (CCM) kina mpango wa kumbebesha mzigo mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, kwenye mapambano ya kuchukuwa Jimbo la Arumeru Mashariki..

Sababu zinazotolewa na baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM pamoja uongozi wa CCM Arusha, ni kwamba Lowassa ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa katika siasa za Arusha.

Machi 9 mwaka huu kampeni zinaanza na Aprili Mosi upigaji kura utafanyika.

Wananchi kadhaa wa Arumeru, wanaozungumzia uchaguzi huo mdogo wa Arumeru wanasema wazi Lowassa, ndio pekee anayeweza kujibu na kusikilizwa na jamii inayoishi katika jimbo hilo.

Ikielezwa kwamba Slaa, ana ushawishi mkubwa kwa wakazi wa Arusha, ushawishi ambao unaweza kupanguliwa na Lowassa pekee miongoni mwa makada wa chama tawala.

Arumeru kuna makabila makubwa mawili Wameru 66% na Wamasai, ambao wengi wanamkubali sana Lowassa.
 
Nakubaliana na hoja yako, HIYO ni sababu tosha Dr. Slaa kachomooa Kugombea Arumeru alijuwa hataweza kupangua makombora ya Lowasa wakati wa kampeni. POLENI CDM huu utakuwa uchaguzi mdogo wa tatu kulalia pua; kumbukeni IGUNGA, UZINI
 
Nakubaliana na hoja yako, HIYO ni sababu tosha Dr. Slaa kachomooa Kugombea Arumeru alijuwa hataweza kupangua makombora ya Lowasa wakati wa kampeni. POLENI CDM huu utakuwa uchaguzi mdogo wa tatu kulalia pua; kumbukeni IGUNGA, UZINI

we kweli mafilifili
 
Ila wanapenda cchadema japo Lowassa anakubalika ila mapenzi ya wameru nakumpenda Lowassa hawatambui chama zaidi ya CHADEMA!!
 
Kama lowasa akiachiwa meru ,hakika ccm itashinda hili halina ubishi hata kidogo ( iwapo tu sioi sumari atakuwa mgombea ) . Wameru siku zote wanaomba kwa Mungu nawao watoe rais wa hii nchi na karata yao ni kwa lowassa . Wanaamini kama sioi atakuwa mbunge na lowassa rais watapata maendeleo kwa haraka jimboni kwao ,hili halina ubishi hata kidogo . Kwa upande wa chadema wanahitaji kazi ya ziada ili waweze kuwashawishi wameru .

NB . LOWASSA NI MKWE WA SIO SUMARY.
 
Wanabodi,

Chama cha Mapinduzi (CCM) kina mpango wa kumbebesha mzigo mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, kwenye mapambano ya kuchukuwa Jimbo la Arumeru Mashariki..

Sababu zinazotolewa na baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM pamoja uongozi wa CCM Arusha, ni kwamba Lowassa ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa katika siasa za Arusha.

Machi 9 mwaka huu kampeni zinaanza na Aprili Mosi upigaji kura utafanyika.

Wananchi kadhaa wa Arumeru, wanaozungumzia uchaguzi huo mdogo wa Arumeru wanasema wazi Lowassa, ndio pekee anayeweza kujibu na kusikilizwa na jamii inayoishi katika jimbo hilo.

Ikielezwa kwamba Slaa, ana ushawishi mkubwa kwa wakazi wa Arusha, ushawishi ambao unaweza kupanguliwa na Lowassa pekee miongoni mwa makada wa chama tawala.

Arumeru kuna makabila makubwa mawili Wameru 66% na Wamasai, ambao wengi wanamkubali sana Lowassa.
Kwanza naomba source ya takwimu zako ili tuweze kuzihakiki. Pili sidhani kama Lowassa ana huo ushawishi unaousema mjini Arusha labda kama ukisema Arusha unamaanisha Monduli.

Tatu kama Lowassa ndo atashika mikoba ya Magamba basi ntaamin sasa CCM imeishiwa mana ni kati ya watu mnaowatuhumu kwa Ufisadi, leo hii huyo huyo anaonekana tena anafaa??au kuna MaLowassa wangapi huko kenu??Au kila mwenye mvi mnamuita Lowassa??? Sidhan kama wa arumeru watakuwa wamepoteza kumbukumbu ya mambo aliyoyafanya Lowassa. Nakubali kuwa CCM wameisha kisiasa na kifikra ila siamin kama watafikia level ya kumshikisha Lowassa Mikoba.
 
Lowasa Ikulu hiyoooo,kila la heri, ila usitusahau kwenye ufalme wako.Matumaini yetu ni kwamba baada ya madongo mengi ya wananchi huhusu ufisadi wako,sasa utakuwa umejifunza na utawatumikia wananchi kama ipasavyo,na ufisadi kwako utakuwa mwiko.
Wanabodi,

Chama cha Mapinduzi (CCM) kina mpango wa kumbebesha mzigo mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, kwenye mapambano ya kuchukuwa Jimbo la Arumeru Mashariki..

Sababu zinazotolewa na baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM pamoja uongozi wa CCM Arusha, ni kwamba Lowassa ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa katika siasa za Arusha.

Machi 9 mwaka huu kampeni zinaanza na Aprili Mosi upigaji kura utafanyika.

Wananchi kadhaa wa Arumeru, wanaozungumzia uchaguzi huo mdogo wa Arumeru wanasema wazi Lowassa, ndio pekee anayeweza kujibu na kusikilizwa na jamii inayoishi katika jimbo hilo.

Ikielezwa kwamba Slaa, ana ushawishi mkubwa kwa wakazi wa Arusha, ushawishi ambao unaweza kupanguliwa na Lowassa pekee miongoni mwa makada wa chama tawala.

Arumeru kuna makabila makubwa mawili Wameru 66% na Wamasai, ambao wengi wanamkubali sana Lowassa.
 
Kama lowasa akiachiwa meru ,hakika ccm itashinda hili halina ubishi hata kidogo ( iwapo tu sioi sumari atakuwa mgombea ) . Wameru siku zote wanaomba kwa Mungu nawao watoe rais wa hii nchi na karata yao ni kwa lowassa . Wanaamini kama sioi atakuwa mbunge na lowassa rais watapata maendeleo kwa haraka jimboni kwao ,hili halina ubishi hata kidogo . Kwa upande wa chadema wanahitaji kazi ya ziada ili waweze kuwashawishi wameru .

NB . LOWASSA NI MKWE WA SIO SUMARY.

Mkuu inaelekea upo kiccm zaidi,na unapga kampeni live! Kwa Joshua Nassary wa CHADEMA ni kabila gani? Kwanini usiseme wameru wanatamani Joshua awe mbunge wao na Lowassa awe rais ?
 
Lowasa Ikulu hiyoooo,kila la heri, ila usitusahau kwenye ufalme wako.Matumaini yetu ni kwamba baada ya madongo mengi ya wananchi huhusu ufisadi wako,sasa utakuwa umejifunza na utawatumikia wananchi kama ipasavyo,na ufisadi kwako utakuwa mwiko.

Ufisadi uko ndani ya damu yake hawezi kuacha; toka lini nyani akaacha kula mahindi?
 
Ndio maana nchi inaendelea kuliwa na wachache mnaozingatia Ushemeji,ukwe,ukabila,udini nk. Huu ndio upumbavu wa watanzania wengi,tuache siasa za kijinga hvyo!
 
Wanabodi,

Chama cha Mapinduzi (CCM) kina mpango wa kumbebesha mzigo mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, kwenye mapambano ya kuchukuwa Jimbo la Arumeru Mashariki..

Sababu zinazotolewa na baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM pamoja uongozi wa CCM Arusha, ni kwamba Lowassa ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa katika siasa za Arusha.

Machi 9 mwaka huu kampeni zinaanza na Aprili Mosi upigaji kura utafanyika.

Wananchi kadhaa wa Arumeru, wanaozungumzia uchaguzi huo mdogo wa Arumeru wanasema wazi Lowassa, ndio pekee anayeweza kujibu na kusikilizwa na jamii inayoishi katika jimbo hilo.

Ikielezwa kwamba Slaa, ana ushawishi mkubwa kwa wakazi wa Arusha, ushawishi ambao unaweza kupanguliwa na Lowassa pekee miongoni mwa makada wa chama tawala.

Arumeru kuna makabila makubwa mawili Wameru 66% na Wamasai, ambao wengi wanamkubali sana Lowassa.

mkuu ritz aka sura mbaya (as per ur avatar) el anakubalika kwao monduli. yaani akiongoza kampeni ya magamba,cdm watapeta sana kwenye kampeni.
 
Kama lowasa akiachiwa meru ,hakika ccm itashinda hili halina ubishi hata kidogo ( iwapo tu sioi sumari atakuwa mgombea ) . Wameru siku zote wanaomba kwa Mungu nawao watoe rais wa hii nchi na karata yao ni kwa lowassa . Wanaamini kama sioi atakuwa mbunge na lowassa rais watapata maendeleo kwa haraka jimboni kwao ,hili halina ubishi hata kidogo . Kwa upande wa chadema wanahitaji kazi ya ziada ili waweze kuwashawishi wameru .

NB . LOWASSA NI MKWE WA SIO SUMARY.
Wazo lolote la mtanzania linaloonyesha kuwa Lowassa anafaa kuwa Rais wa Nchi hii mimi huwa nalipuuza vikali na kulitupilia mbali sana. Hii dhana ya sehemu/jimbo flani kupelekewa maendeleo kwakuwa Rais/Waziri Mkuu ni Mkwe wa Mbunge flani limetokea wapi???Hii ni dhana ya zamani sana na inayoleta hasira sana hasa kama kauli hiyo inatolewa na Mzalendo. Lowassa alikuwa waziri mkuu alilifanyia nini Jimbo la Arumeru???Au huko nyuma Arumeru haikuwepo???

Hivi FEDHA zinazotumika kwa maendeleo ya nchi sio Kodi za wananchi wote wa Tanzania??iweje mtu mzima useme kuwa flan akiwa rais na flan akiwa mbunge jimbo flan litaendelea??Unamaana watapewa nafasi ya upendeleo kwa gharama za wananchi wengine??? Kama hizo hela ni kutoka mfukon kwake kwanini asitoe sasa hivi had asubiri awe Rais??? Mtazamo huu ni wa mtu asiyejua nchi inafanyaje kazi zake. Kama ingekuwa hivyo Jimbo linaloongoza kwa umaskini lisingekuwa chini ya Mbunge wa CCM.
 
Nakubaliana na hoja yako, HIYO ni sababu tosha Dr. Slaa kachomooa Kugombea Arumeru alijuwa hataweza kupangua makombora ya Lowasa wakati wa kampeni. POLENI CDM huu utakuwa uchaguzi mdogo wa tatu kulalia pua; kumbukeni IGUNGA, UZINI

Imekaa kishabiki zaidi!!
 
Mkuu inaelekea upo kiccm zaidi,na unapga kampeni live! Kwa Joshua Nassary wa CHADEMA ni kabila gani? Kwanini usiseme wameru wanatamani Joshua awe mbunge wao na Lowassa awe rais ?

mkuu mimi nasema ukweli wa hali jinsi ilivo sihitaji kumpigia mtu yoyote kampeni maana hakuna mwanasiasa ananisaidia kitu naongea kama mwananchi wa kawaida .
 
Let's wait tuone jinsi masanduku yatakavyopotea na kuchelewa kufika vituoni au wasimamizi kusahau wino, daftari n.k Bongo hakuna kisichowezekana!
 
mkuu mimi nasema ukweli wa hali jinsi ilivo sihitaji kumpigia mtu yoyote kampeni maana hakuna mwanasiasa ananisaidia kitu naongea kama mwananchi wa kawaida .
Mbona sisi wananchi wa kawaida hatuna mawazo kama yako???wewe sio mwananchi wa kawaida wewe utakuwa gamba tu.
 
Ndio maana nchi
inaendelea kuliwa na
wachache mnaozingatia
Ushemeji,ukwe,ukabila,udini
nk. Huu ndio upungufu
wa watanzania wengi,tuache siasa za
kindugundugu na kirafiki hvyo!
 
Kwanza naomba source ya takwimu zako ili tuweze kuzihakiki. Pili sidhani kama Lowassa ana huo ushawishi unaousema mjini Arusha labda kama ukisema Arusha unamaanisha Monduli.

Tatu kama Lowassa ndo atashika mikoba ya Magamba basi ntaamin sasa CCM imeishiwa mana ni kati ya watu mnaowatuhumu kwa Ufisadi, leo hii huyo huyo anaonekana tena anafaa??au kuna MaLowassa wangapi huko kenu??Au kila mwenye mvi mnamuita Lowassa??? Sidhan kama wa arumeru watakuwa wamepoteza kumbukumbu ya mambo aliyoyafanya Lowassa. Nakubali kuwa CCM wameisha kisiasa na kifikra ila siamin kama watafikia level ya kumshikisha Lowassa Mikoba.

Kwa mujibu wa utafiti wetu huo idadi kubwa ya wakazi wa jimbo hilo ni kabila la Wameru, idadi yao ni 66% Wamasai 15% asilimia iliyobaki ni mchanganyiko wa makabili mbalimbali yaliyohamia kutoka maeneo mbali mbali ya nchi yetu.

Utafiti huo unaonyesha kwamba Wameru wametapakaa eneo lote la Akari hadi maeneo yote yanayozunguka Mlima Meru.

Wakati Wamasai wametapakaa katika maeneo ya Nangaranyuki hadi Maroroni.

Kubwa zaidi kwa mgeni anayaona kama makabila mawili tofauti, lakini mila na desturi zao karibu zote zinafanana, na upo mwingiliano mkubwa wa vizazi baina ya koo za makabila ya mawili ya jimbo la Arumeru.

Source: Ritz wa JF
 
Back
Top Bottom