Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,353
- 32,990
Nape Nauye na CCM yake wanasema wamemshauri JK akutane na vyama vyote vyenye uwakilishi bungeni.... je watawaomba vyama hivyo waandike barua ya kuomba vyama hivyo vikutane na JK au watafanyaje? Je kama vyama hivyo havina cha kuongea nae? CCM bana....