William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Unataka kusema sijawahi kutoa mawazo ya kuwa solution za kuleta maendeleo Tanzania au kuboresha mfumo wa siasa?
Naomba nikukumbushe kwanza kwa kukuomba usome Marshal Plan ya Mchungaji na hasa kipengele cha Uongozi
'Marshall Plan' - Restoration and Recovery Plan for Tanzania
Kisha soma Dynamic Productivity Dynamic Productivity; Tija na Maarifa
Endelea na Why Vita vya Ufisadi will not win election Why "Vita vya Ufisadi" failed and will never win election..
KUna Money Matters Money Matters: Maendeleo, Ubunifu, Maadili na Kujitegemea
Pia kuna nyingine tatu za Focus 2010, Chadema must reform na Azimio Jipya, sizioni tena naona mods wamechanganya hoja hivyo sijapata linki zake.
Exactly ndio ninachosema nilitegemea uweke solutions maana ninaamini kwamba unao huo uwezo, sasa shukrani kwa link zako lakini ungeziwakilisha kwenye hii mada ya Mwanakijiji, ningeelewa.
NInachojaribu kuonyesha hapa ni kuwa nimekuwa nikimpigia kelele Kikwete na kumtupia lawama kwa ukali, lakini hata kama ni Amiri Jeshi MKuu, yeye si pekee katika uongozi na CCM ilipaswa kuwa makini kumuongoza hata Mkapa, Mwinyi na Nyerere. Katika hizo thread nilizokuonyesha hapo juu, solution zake si kwa ajili ya CCM, bali ni kwa ajili ya Taifa zima. Solution kwa CCM kujisafisha ni kwa watu kuacha kuoneana haya na woga na wafanye kweli ama wafukuze au wajiondoe.
- Hapa ndio yale yale, hakuna solution ila lawama tupu kwa wengine wa CCM, mkuu huko kwenye tumefikaje hapa tulipo Mwanakijiji ameshapitia kabla ya kutoa hii mada, tumetokea kwa Mwalimu, sasa anatafuta solution, kama uliwahi kuzitoa huko nyuma ilikuwa kwenye mijadala mingine lakini sio huu, lawama sio solution kwa sababu matatizo yako sio ya mwingine.
- CCM wajisafishe wasijisafishe, sio tatizo letu wananchi hapa kwenye hii mada tatizo letu ni solution kutoka kwenye shimo tulilomo tayari, kuwalaumu viongozi watano au sita wa CCM hakutatui tatizo, kwa sababu CCM they are not doing it, so what tusubiri mpaka watakapoamua kufanya kama unavyosema itakua ni lini hiyo?
I mean kama ni ukali kila mtu hapa anaweza kuutoa, lakini where is a solution kwa sisi wananchi na taifa lililoko shimoni??