CCM kumecha!!

Tayari ushasema ya kwamba wewe ni mjumbe wa NEC na kama unavyojua humu weng ni CDM.Kwahyo wewe ndio unapaswa kutujibu sisi maswali yote yanayohusu CCM kwahiyo basi swali lako haliwezi kujibiwa hapa,labda ulipeleke MICHUZI,huku wajumbe wa NEC wapo wengi sana.

sijasema mi mjumbe wa NEC. Ningekua mjumbe nisingeleta hii mada.
 
Back
Top Bottom